Huo ndio mpango mzima. Kiongozi wa SUK Zanzibar pamoja na kiongozi mkuu wa chama kitaifa wanakwenda kufichwa katikati ya sokoni na stendi!
Hii wame copy na kupaste kutoka kwa mwandani wao ccm walivyofanya Iringa kuukimbia uwanja wa mwembetogwa.
Wasikilizie Jumanne jiji litakavyorindima baada ya Lema kutoka mahakamani.
Sultani asubiri kidogo hadi Jumanne ashuhudie kipenda roho cha wana Arusha.