Mkuu, haraka za nini? Kwa nini usisubiri muda wa mkutano ufike ndipo uanze kutupatia updates? Umejivua nguo hadharani mwenyewe!
Hapana mkuu.Mwache jamaa atupe Live kuanzia sasa hivi.Mbona siku ya mkutano wa CDM Jangwani Live coverage ilianza saa 12 asubuhi?