Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

Mzee

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
13,620
Reaction score
5,863
Habari za Muda huu

Kila nikiangalia Siasa za Arusha zinaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania. Naomba kuuliza

i. Makonda ana vinasaba gani na Mkoa wa Arusha. Hata kama Arusha kila mmoja ana haki ya kugombea, Makonda amekaa Arusha kwa kipindi gani mbali na kuwa Mkuu wa Mkoa

2. Je! katika Uhalisia, kati ya Mbunge na Mkuu wa Mkoa nani ana nafasi nzuri ya kusaidia mchakato wa Maendeleo.

Mkuu wa Mkoa yupo Upande wa Serikali na Serikali ndio inayotoa Fedha ikiwa na maana Mkuu wa Mkoa ana nafasi nzuri ya kutumia Mamlaka kuhamasisha Mchakato wa Maendeleo.

Jambo gani ambalo Makonda kashindwa kulifanya kama mkuu wa Mkoa anadhani akiwa Mbunge atafanikisha??


3. Gambo akiwa mkuu wa mkoa alitifuana na Lema akiwa Mbunge. Mwisho Lema akaondoka akabaki Gambo. Mtifuano ule ambao Gambo alikua anaufanya kwa Lema ukahamia kwa Watumishi. Alitifuana sana na Watumishi.


4. Arusha baada ya kukubali utambulisho wao kuwa "Wadudu" hapo nikajua kuna tatizo kubwa sana. Namna gani mkoa unaweza kubariki kuwa na utambulisho wa Wadudu.

Watu wa Arusha mnapaswa kujitathmini kwa Huu Ujinga.

Wasalam.
 
Tatizo ni kubwa kuliko unavyofikiria.
Salma kikwete kapita bila kupingwa ( wanashangilia)
Riziwani kikwete kapita bila kupingwa ( mazuzu yanashangilia)
Jrscer magufuli anapewa ubunge ( wanashangilia)
Pinda
Mwinyi families na wengine wengi.
Watu wa Tanzania hilo wanaona ni jambo jema sasna. Wanakwambia nchi ina amani na chama ni ccm tu.
AMANI GANI HIYO WANAKULA WALEWALE
 
🌐 POLITICAL REALITY CHECK ABOUT PAUL MAKONDA 🌐

Watu wengi wanashangaa kwanini Makonda amekuwa akibadilisha nafasi mara kwa mara kutoka RC Dar, akataka ubunge CCM wakamkataa, akapewa RC Arusha, na sasa tena jina lake limepita kwenye ubunge.

❗ Let’s be honest:
Kama kweli nia yake ni kusaidia wananchi “from the heart”, nafasi ya RC ni platform kubwa ya kufanya impact kuliko ubunge. Lakini kwa nini kuacha nafasi yenye nguvu ya maendeleo na kukimbilia ubunge?

📌 Answer is simple:
Hii ni classic example ya “Political Capitalization.” Anaweka maendeleo mbele ya macho ya wananchi si kama huduma ya dhati, bali kama political ladder ya kupandia juu.

🇹🇿 Truth be told:
Makonda anatumia miradi ya maendeleo as a tool of manipulation kuwashawishi wananchi wamchukue kama mkombozi, wakati lengo halisi ni kuongeza influence yake binafsi kisiasa.

⚠️ Bottom line:
Wananchi wasidanganywe na speed ya miradi au maneno ya huruma.
This is not about people, it’s about power!

🔥 Conclusion:
Makonda is not real. Anaendesha siasa kwa mtindo wa kujenga “image” ya mkombozi ili ku-turn wananchi into a political ladder. This is pure hunger for power, not service.
 
Kutoa malalamiko bila mapendekezo ya Suluhisho ni kujithibitishia na kujiingiza mwenyewe kwenye kundi uliloliweka kwenye headingi; utofauti tu ni kwamba utapewa ukiranja tu.
Natoa malalamiko kwamba
Ccm ni chama cha kifamilia/ kifalme
Mahera aliyekuwa NEC Naye anagombea ubunge
Sirro sasa ni RPC Kadi ya chama alichukua lini ??
 
🌐 POLITICAL REALITY CHECK ABOUT PAUL MAKONDA 🌐

Watu wengi wanashangaa kwanini Makonda amekuwa akibadilisha nafasi mara kwa mara kutoka RC Dar, akataka ubunge CCM wakamkataa, akapewa RC Arusha, na sasa tena jina lake limepita kwenye ubunge.

❗ Let’s be honest:
Kama kweli nia yake ni kusaidia wananchi “from the heart”, nafasi ya RC ni platform kubwa ya kufanya impact kuliko ubunge. Lakini kwa nini kuacha nafasi yenye nguvu ya maendeleo na kukimbilia ubunge?

📌 Answer is simple:
Hii ni classic example ya “Political Capitalization.” Anaweka maendeleo mbele ya macho ya wananchi si kama huduma ya dhati, bali kama political ladder ya kupandia juu.

🇹🇿 Truth be told:
Makonda anatumia miradi ya maendeleo as a tool of manipulation kuwashawishi wananchi wamchukue kama mkombozi, wakati lengo halisi ni kuongeza influence yake binafsi kisiasa.

⚠️ Bottom line:
Wananchi wasidanganywe na speed ya miradi au maneno ya huruma.
This is not about people, it’s about power!

🔥 Conclusion:
Makonda is not real. Anaendesha siasa kwa mtindo wa kujenga “image” ya mkombozi ili ku-turn wananchi into a political ladder. This is pure hunger for power, not service.
Big brain👏👏👏👏👏👏👏
 
We uwajui watu wa uko wapo radhi mkewe akapigwe shoo ili tu apate pesa wanashobo za ajabu kwa mtu mwenye kitu wao kuuza utu wao siyo issue ili tu maisha yao yaende pasipo kuangalia kesho yao
Wewe ni mngese sana.
Usifafanishe Chuga na watoto wa mama.
 
Ukienda haraka haraka utaingia siko, lakini huenda ameuachia u RC ili apate Ubunge aweze kuteuliwa nafasi ya juu zaidi ie. Waziri. Hiyo imekaaje?
 
Tatizo ni kubwa kuliko unavyofikiria.
Salma kikwete kapita bila kupingwa ( wanashangilia)
Riziwani kikwete kapita bila kupingwa ( mazuzu yanashangilia)
Jrscer magufuli anapewa ubunge ( wanashangilia)
Pinda
Mwinyi families na wengine wengi.
Watu wa Tanzania hilo wanaona ni jambo jema sasna. Wanakwambia nchi ina amani na chama ni ccm tu.
AMANI GANI HIYO WANAKULA WALEWALE
Kuna tatizo kubwa sana ambalo linahitaji Msaada mkubwa sana.
 
Nyie tunawajua mmeenda mjini kwa tamaa tamaa zenu za .maisha furani furani vijana wameuza utu wao wamegeuka Michele mchele
Hao baadhi tu wanatuharibia codes.
We jichanganye tu town tukurukie.
 
Habari za Muda huu

Kila nikiangalia Siasa za Arusha zinaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania. Naomba kuuliza

i. Makonda ana vinasaba gani na Mkoa wa Arusha. Hata kama Arusha kila mmoja ana haki ya kugombea, Makonda amekaa Arusha kwa kipindi gani mbali na kuwa Mkuu wa Mkoa

2. Je! katika Uhalisia, kati ya Mbunge na Mkuu wa Mkoa nani ana nafasi nzuri ya kusaidia mchakato wa Maendeleo.

Mkuu wa Mkoa yupo Upande wa Serikali na Serikali ndio inayotoa Fedha ikiwa na maana Mkuu wa Mkoa ana nafasi nzuri ya kutumia Mamlaka kuhamasisha Mchakato wa Maendeleo.

Jambo gani ambalo Makonda kashindwa kulifanya kama mkuu wa Mkoa anadhani akiwa Mbunge atafanikisha??


3. Gambo akiwa mkuu wa mkoa alitifuana na Lema akiwa Mbunge. Mwisho Lema akaondoka akabaki Gambo. Mtifuano ule ambao Gambo alikua anaufanya kwa Lema ukahamia kwa Watumishi. Alitifuana sana na Watumishi.


4. Arusha baada ya kukubali utambulisho wao kuwa "Wadudu" hapo nikajua kuna tatizo kubwa sana. Namna gani mkoa unaweza kubariki kuwa na utambulisho wa Wadudu.

Watu wa Arusha mnapaswa kujitathmini kwa Huu Ujinga.

Wasalam.
Akiwa Mbunge ndio hawezi kabisa kufanya ila anadhani atakuwa Waziri Ili awe na sauti zaidi.
 
Kuna tatizo kubwa sana ambalo linahitaji Msaada mkubwa sana.
Kwa hawa watanzania ninao waona. Siyo rahisi.
Ccm wamefanikiwa sana kuharibu akili za akili za watanzania.
 
🌐 POLITICAL REALITY CHECK ABOUT PAUL MAKONDA 🌐

Watu wengi wanashangaa kwanini Makonda amekuwa akibadilisha nafasi mara kwa mara kutoka RC Dar, akataka ubunge CCM wakamkataa, akapewa RC Arusha, na sasa tena jina lake limepita kwenye ubunge.

❗ Let’s be honest:
Kama kweli nia yake ni kusaidia wananchi “from the heart”, nafasi ya RC ni platform kubwa ya kufanya impact kuliko ubunge. Lakini kwa nini kuacha nafasi yenye nguvu ya maendeleo na kukimbilia ubunge?

📌 Answer is simple:
Hii ni classic example ya “Political Capitalization.” Anaweka maendeleo mbele ya macho ya wananchi si kama huduma ya dhati, bali kama political ladder ya kupandia juu.

🇹🇿 Truth be told:
Makonda anatumia miradi ya maendeleo as a tool of manipulation kuwashawishi wananchi wamchukue kama mkombozi, wakati lengo halisi ni kuongeza influence yake binafsi kisiasa.

⚠️ Bottom line:
Wananchi wasidanganywe na speed ya miradi au maneno ya huruma.
This is not about people, it’s about power!

🔥 Conclusion:
Makonda is not real. Anaendesha siasa kwa mtindo wa kujenga “image” ya mkombozi ili ku-turn wananchi into a political ladder. This is pure hunger for power, not service.
Kwa bahati mbaya hao Wananchi ambao Unasema wasindanganywe Tayari wameshadanganyika.

Je! Makonda ana Jambo gani ambalo alishindwa kulifanya akiwa mkuu wa Mkoa anadhani kwasasa ataliweza kama Mbunge.

Jibu ni kwamba hakuna Jambo lolote la maana atakalofanya. Haijui Arusha na hana la kuwasaidia wana Arusha.
 
Back
Top Bottom