mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,838
Kuna watu viazi dada.We unahangaika kuandika gazeti kumtetea wakati mtuhumiwa ameshaweka maelezo sawa
Muuaji aliyetoka nje ya nyumba Ana muda wa kutafuta shimo la choo kumtumbukiza maiti?
Kuna watu viazi dada.We unahangaika kuandika gazeti kumtetea wakati mtuhumiwa ameshaweka maelezo sawa
Haiwezekani asilani,Kuna watu viazi dada.
Muuaji aliyetoka nje ya nyumba Ana muda wa kutafuta shimo la choo kumtumbukiza maiti?
Achana naye huyo anatafuta ligiWe unahangaika kuandika gazeti kumtetea wakati mtuhumiwa ameshaweka maelezo sawa
Umeshaleta habari kamili?If yes nitag basi naomba.Kesho ntawapa habari kamili
Huyu ni mama mdogo kasema hivi YouTube
Akili yake itakua ya kukalia chupa ya mirindaAisee akili yako ni ndogo sana.
Mkuu shimo lote la kupokelea vinyesi na maji taka toka chooni na bafuni huitwa chemba.Chemba ya 60cm by 60cm na kina cha 20 had 30cm mwili wa mtu mzima unaingiaje? Au ni shimo la choo? Pia kuhusu mahojiano ya huyo kijana, nahisi ataning’inizwa huku akipigwa kwenye makende na rungu, namwonea huruma
Lete story kamili mkuu.Akili yake itakua ya kukalia chupa ya mir
Watt mayai mayai lazima wakuwe na maumbo makubwaHuyu ndo ana miaka 24?
Naelewa hilo nimeamua kumzingua tuu witnessjMmasy wachagga wako kibao tu mimi nina ndugu zangu kina mmasy pale kibosho wapo wa kutosha
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Ndio watoto 90's wana mili mikubwa sanaHuyu ndo ana miaka 24?
We umesikia huyo Binti akihojiwa mm nimeambiwa na mwanafamiliaAcha uongo. Mdogo mtu kasema alimpigia kaka yake jibu likawa mama kasafiri. Alipokuja toka china akamuuliza kaka akasema mama atarudi tu kasafiri. Sasa shida ni nini? Wote tumesikia alivyohojiwa yule binti. Usihukumu kabla ya kupata ukweli. Acha mihemuko.
Naona umekuwa umeme best. PoleAkili yake itakua ya kukalia chupa ya mirinda
Ilikuwaje story ya baba yake kuuawa?Mama alishaua Baba Ili ale maisha Sasa amevuna alichopanda na yeye kauwawa
Wachaga wajinga flani tu hivi
Wamejaa tamaa za mali
Naona umekuwa umeme best. Pole
Ulisema unaleta habari kamili mkuu.Kijana amekiri yeye ndio kamuua mama yake,alimpiga na kitu kichwani
Sababu kasema ni nini?Kijana amekiri yeye ndio kamuua mama yake,alimpiga na kitu kichwani