Wilderness Voice
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 921
- 1,637
Kumbuka kukiri kosa ukiwa mikononi mwa polisi au wakati wakutoa maelezo haikufanyi kukutwa na kosa. Nadhani hujui maswala ya kisheria. Ungekuwa unajua wala uwezi kukaa unaleta story zako.Wewe unabisha nini? Wakati dogo tayari kashianyoosha maelezo polisi..kataja hadi alioshirikiana nao.