Arusha: Maandamano yatapita barabara hizi

Arusha: Maandamano yatapita barabara hizi

toka CHADEMA WAMKANE KAMANDA LUDOVICK TULIESOMA NAE PALE DUCE SIIANDAMANI NG'O


wapi walimkana, tupe ushahidi ili ueleweke, vingenevyo utaitwa msengenyaji/mwongo, ambayo haipaswi kuwa kazi yako bali ya shetani yohana 8.44
 
Kwani ni wangapi walikuwa CHADEMA na mwisho wa siku wakawa WASALITI? Au hujaona USALITI wa Shoza, Mwampamba, n.k?

kwani hao uliowataja tangu lini walikuwa wapambanaji, si walikuwa wana mission tu ndani ya cdm, waliposhindwa wakarudishwa ccm, si unaona walivyopokelewa, ni ishara ya kuwa walikuwa bado ni wana ccm safi, hakuna jipya

leteni hoja zenye nguvu sio maneno mepesi yanayoshindwa kukidhi vigezo vya jf
 
Poa sana kamanda,si walishasema jamaa hatajiuzulu?basi waache tuingie road ..tutapachimba mpaka kieleweke (UDSM 2007.)
 
Hili ndilo jawabu kwa Waislamu walipotaka kumngoa Ndalichako?
 
,kumbuka maneno ya Mchungaji wa Kijerumani enzi hizo Martin Niemoller,alipata kusema,First they came for Jews,I did not speak out because I was not a Jew,they came for communists,I did not speak out,because I was not a comunist,they came for trade unions,I did not come out as I was not a trade unionist,When they came for me none was left to speak out
 
Aaaakh,mbona masaa hayaendi ifike hiyo monday???Niliona vijana wana machungu mbaya,wazazi na walezi nao usiseme,yupo rafiki yangu alisomesha mwanae na kulipia mwingine kama mlezi kwa kipato cha kubangaiza na wote wameangukia pua.,ANA MACHUNGU HUYO!akiona wengine wanaleta nyuzi za kipuuzi hapa ninafikiri anapigiza glass chini kwa ghadhabu.
 
Yangu ni macho na masikio,nitakapopita mjini Arusha;kama maandamano yatakuwepo !:israel::israel::israel:
 
Kwa nini dola inaogopa sana maandamano ya wananchi?

Kwa sababu maandamano hushabikiwa sana na vibaka na watu wenye akili ndogo, ambao hawajawahi kufanya ugunduzi wa kitu chochote hata wembe au sindano. Uliwahi kusikia watu wenye akili kama Isaac Newton, Galilei Galileo, Albert Einstein, Amedeo Avogadro, J.J. Thomson, Godat Nzowa, Lord Lutherford, n.k. wanaandamana vichochoroni?
 
Back
Top Bottom