Kwa sababu maandamano hushabikiwa sana na vibaka na watu wenye akili ndogo, ambao hawajawahi kufanya ugunduzi wa kitu chochote hata wembe au sindano. Uliwahi kusikia watu wenye akili kama Isaac Newton, Galilei Galileo, Albert Einstein, Amedeo Avogadro, J.J. Thomson, Godat Nzowa, Lord Lutherford, n.k. wanaandamana vichochoroni?
Kabla sijachangia hayo maandamano ya kibali cha polisi.
Labia majora au labia minora?
hata bila kuandamana mnawafungulia kesi feki sasa si bora waandamane wapeleke m4c magerezani.Juzi kuna watu wameenda jela mwaka mmoja kisa kufanya maandamano bila kibali cha polisi.
Juzi kuna watu wameenda jela mwaka mmoja kisa kufanya maandamano bila kibali cha polisi.
This time CHADEMA ni lazima ku retreat kwani kitendo cha CCM kupinga maandamano haya ni ishara ya kuwa kuna mkakati wa kuweza kuanzisha fujo.Maandalizi yote ya maandamano makubwa ya kumngoa Kawambwa yamekamilika,tunaanzia Philips,saa nne asubuhi,kupitia Barabara ya Afrika mashariki,Police line,Makongoro,Uhuru na kuhitimishwa kwa mkutano mkubwa wa hadhara viwanja vya Kilombero,natoa wito kwa wananchi wote kujitokeza kwa wingi.
Hakuna kulala hadi kieleweke
toka CHADEMA WAMKANE KAMANDA LUDOVICK TULIESOMA NAE PALE DUCE SIIANDAMANI NG'O
Kwa sababu maandamano hushabikiwa sana na vibaka na watu wenye akili ndogo, ambao hawajawahi kufanya ugunduzi wa kitu chochote hata wembe au sindano. Uliwahi kusikia watu wenye akili kama Isaac Newton, Galilei Galileo, Albert Einstein, Amedeo Avogadro, J.J. Thomson, Godat Nzowa, Lord Lutherford, n.k. wanaandamana vichochoroni?
Labia majora au labia minora?
Mandela alikaa miaka 27 kisa maandamano na harakati za ukombozi, sasa hayo maandamano ya waislamu ya kuchoma makanisa na kuiba mali za kanisa nayo unaita maandamano??huo ni ugaidi!
Kwa sababu maandamano hushabikiwa sana na vibaka na watu wenye akili ndogo, ambao hawajawahi kufanya ugunduzi wa kitu chochote hata wembe au sindano. Uliwahi kusikia watu wenye akili kama Isaac Newton, Galilei Galileo, Albert Einstein, Amedeo Avogadro, J.J. Thomson, Godat Nzowa, Lord Lutherford, n.k. wanaandamana vichochoroni?
This is too low Nzowa!
Kwa hiyo CCM and CO hawapendi kuandamana kwa sababu ya ugunduzi wao na akili zao nyingi kwa watz au?
Laiti angejua hizo labia nini! Ha ha ha! pangechimbika aisee.Labia majora au labia minora?