Arusha: Maandamano yatapita barabara hizi

Arusha: Maandamano yatapita barabara hizi

Nanyaro Ephata

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2011
Posts
1,237
Reaction score
1,828
[h=5]Maandalizi yote ya maandamano makubwa ya kumngoa Kawambwa yamekamilika,tunaanzia Philips,saa nne asubuhi,kupitia Barabara ya Afrika mashariki,Police line,Makongoro,Uhuru na kuhitimishwa kwa mkutano mkubwa wa hadhara viwanja vya Kilombero,natoa wito kwa wananchi wote kujitokeza kwa wingi.[/h]Hakuna kulala hadi kieleweke
 
Kwa nini dola inaogopa sana maandamano ya wananchi?
 
Maandamano ni Jumatatu Tarehe 25/3/2013 kuanzia saa nne
 
Polisi wamejiweka vyema sana lets us be careful maana haki yetu ya kikatiba inaingiliwa
 
toka CHADEMA WAMKANE KAMANDA LUDOVICK TULIESOMA NAE PALE DUCE SIIANDAMANI NG'O
 
toka CHADEMA WAMKANE KAMANDA LUDOVICK TULIESOMA NAE PALE DUCE SIIANDAMANI NG'O

Hawezi kuwa kamanda akiwa kwenye gamba wewe hupumui na magamba yako mwaka huu.... Kila la heri wakuu
 
NASUBIRI MUONGOZO WA MAANDAMANO YA MBEYA TUTAANZIA WAPI.
Policcm wasijisumbue,wanalipwa kodi zetu ili watulinde na sio kutuzui mambo ya msing tunayoitakia nchi yetu.
KAMA NI KUUA NA WATUUE MBELE YA XI ILA KAWA-MBWA AJIUZURU.
 
toka CHADEMA WAMKANE KAMANDA LUDOVICK TULIESOMA NAE PALE DUCE SIIANDAMANI NG'O

Kwani ni wangapi walikuwa CHADEMA na mwisho wa siku wakawa WASALITI? Au hujaona USALITI wa Shoza, Mwampamba, n.k?
 
Huyu ni kirusi tu,anataka kuharibu mjadala wetu wa maandamano
 
Back
Top Bottom