T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Nepi naona tumbo linazidi tu teh teh teh soon litakuwa kama jioni komba mr toti .
wivu wa kike plus husuda
Nepi naona tumbo linazidi tu teh teh teh soon litakuwa kama jioni komba mr toti .
Sasa wakubwa wa CDM mnataka gazeti gani Mwananchi hamlitaki, Jambo/habari leo hamyataki, Uhuru hamlitaki, hata TZ Daima mna shaka nalo. Nyie mnataka kuambiwa uongo unaowafurahisha
kama picha zile
hazjachakachuliwa basi zingatia kuna aina ya upigaj picha inayoweza
kukudanganya, apo horizon haikuonekana kt picha ilowekwa gazeti la
mwananchi, picha tmeziona jana iyoiyo mida ya jion mkutano ukikaribia
tamati, watu hawakuwa weng, otherwise unge kubali kwa sasa chadema ni
nambali wani kwa sasa
mbona chadema ndo wanaongoza kwa maandamano na foleni za pikipiki vipi nao wanawalipa elaa....chama dume ccm chama tawala kimesimama mbayaaa mwendo mbelembeleee ..mtajibeba mwaka huu