Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Ndugu, fahamu kwamba Sabaya ndiyo alikuwa main engine ya kumng'oa Mbowe pale Hai. Mbowe ni mwenyekiti wa chama chenye wafuasi wengi mitandaoni.Umenena vyema.
Ila jiulize mbona watu wengi sana wamefurahishwa na kitendo Cha huyu jamaa kupumzishwa Kisongo?
Mbona watu wengi sana walifurahi sana huyu bwege alivyotumbuliwa?
Let's wait for justice to prevail but I am with the multitude.
Kitendo tu Cha kuvuliwa nguo pale Kisongo kwa usongo na kusachiwa mwilii mzima kimewafurahisha wengi japo kimempa usongo Sabaya.
Hivyo basi Sabaya amekuwa adui na kuchukiwa na wengi sababu tu ya kumwangusha Mbowe. Hilo liliwauma sana CHADEMA na ndiyo maana wanamchukia Sabaya.