Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Umenena vyema.
Ila jiulize mbona watu wengi sana wamefurahishwa na kitendo Cha huyu jamaa kupumzishwa Kisongo?
Mbona watu wengi sana walifurahi sana huyu bwege alivyotumbuliwa?
Let's wait for justice to prevail but I am with the multitude.
Kitendo tu Cha kuvuliwa nguo pale Kisongo kwa usongo na kusachiwa mwilii mzima kimewafurahisha wengi japo kimempa usongo Sabaya.
Ndugu, fahamu kwamba Sabaya ndiyo alikuwa main engine ya kumng'oa Mbowe pale Hai. Mbowe ni mwenyekiti wa chama chenye wafuasi wengi mitandaoni.
Hivyo basi Sabaya amekuwa adui na kuchukiwa na wengi sababu tu ya kumwangusha Mbowe. Hilo liliwauma sana CHADEMA na ndiyo maana wanamchukia Sabaya.
 
Ndugu, fahamu kwamba Sabaya ndiyo alikuwa main engine ya kumng'oa Mbowe pale Hai. Mbowe ni mwenyekiti wa chama chenye wafuasi wengi mitandaoni.
Hivyo basi Sabaya amekuwa adui na kuchukiwa na wengi sababu tu ya kumwangusha Mbowe. Hilo liliwauma sana CHADEMA na ndiyo maana wanamchukia Sabaya.
Rubbish
 
Mahakama haijathibitisha bado kama Sabaya ni jambazi au la. Mpaka sasa yeye ni mtuhumiwa tu.
He is innocent until proven guilty. So let's just wait for the judiciary to decide.
Wekeni akiba ya maneno, hukumu yake inaweza kuwashangaza mkakosa ya kuongea.
Hata seth ,rugemalila wazee wa uhamsho mahakama bado haithibitisha kama Wana makosa.
Hivyo sabaya nae atakaa tu hadi ithibitishwe
 
Duuh,kwahiyo anaenda kurusha zake ndege hapo kisongo siyo?

Bingo Sana Rubani Sabaya,leo naona uhalisia wa lile chozi lako la jicho moja kwenye mazishi ya mwendazake kule chato
 
Duuh,kwahiyo anaenda kurusha zake ndege hapo kisongo siyo?

Bingo Sana Rubani Sabaya,leo naona uhalisia wa lile chozi lako la jicho moja kwenye mazishi ya mwendazake kule chato
Sawaya keshakua mzoefu pale Kisongo. Keshapata walinzi na mabausa yakumlinda dhidi ya wahuni wa pale.
Ameshaanza ukiherehere.
(Kiherehere Ni naibu nyapara)
 
Mnaofanya utetezi wa Ole Sabaya kumbukeni hajakamatwa na kushtakiwa peke yake. Mabaunsa wake, vijana wenzake watano waliokuwa wanamlinda kikamilifu na kushirikiana naye katika kazi zake za kila siku nao wamekamatwa na kushtakiwa pamoja naye.Hao nao wanategemea utetezi wenu.

Chondechonde watetezi, msiwasahau hao vijana watano muhimu kwake Ole Sabaya ambao kwa pamoja waliweza kufanikisha mengi mkoani Kilimanjaro na Arusha.
 
Mnaofanya utetezi wa Ole Sabaya kumbukeni hajakamatwa na kushtakiwa peke yake. Mabaunsa wake, vijana wenzake watano waliokuwa wanamlinda kikamilifu na kushirikiana naye katika kazi zake za kila siku nao wamekamatwa na kushtakiwa pamoja naye.Hao nao wanategemea utetezi wenu.

Chondechonde watetezi, msiwasahau hao vijana watano muhimu kwake Ole Sabaya ambao kwa pamoja waliweza kufanikisha mengi mkoani Kilimanjaro na Arusha.
Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na Usalama wilaya anayetumia mabaunsa kufanya kazi za serikali.
 
Sasa hivi hao mabaunsa wanajuta ,mpaka watoke huko wamekuwa wazee hizo nguvu wangetumia kwenye kubeba zege.

Sabaya alipokuwa clouds alikuwa na kitambi Sasa hivi week moja tu tayari kitambi imetoka
 
Boss wao sijui naye tayari au Malaika mwendesha mashtaka bado hajafika?
 
Mnaofanya utetezi wa Ole Sabaya kumbukeni hajakamatwa na kushtakiwa peke yake. Mabaunsa wake, vijana wenzake watano waliokuwa wanamlinda kikamilifu na kushirikiana naye katika kazi zake za kila siku nao wamekamatwa na kushtakiwa pamoja naye.Hao nao wanategemea utetezi wenu.

Chondechonde watetezi, msiwasahau hao vijana watano muhimu kwake Ole Sabaya ambao kwa pamoja waliweza kufanikisha mengi mkoani Kilimanjaro na Arusha.
Mengi waliyofanikisha ni yapi kwa mfano.
 
Back
Top Bottom