Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Propaganda
Tengeneza Propaganda yako basi
Propaganda
inaonekana siku hizi watu mnapiga kazi mpaka usiku, unafiki mwingine bwanaWatu tupo site tunapiga kazi wewe unaleta habari za huyu jamaa ambae hana heshima kwenye jamii
Atakula mvua miaka mitatu jelaGodbless Lema haja tetereka na kamwe hato tetereka.
Kukaa kwake Mahabusu rather kumemuimarisha zaidi badala ya kumdhoofisha.
Huyu ndio Lema.. Mpambanaji ambae wakati wote huwa na mawazo huru.
Mwalimu alisema maadam mbebwaji yupo na wabebaji wapo basi mwacheniMambo haya ndio alikataa Baba wa Taifa wakati ule Mh. Mrema alipokuwa analipuwa mabomu. Akamwambia Rais "Muacheni hata wakitaka kumbeba, kwani mkimkamata mtampa umaarufu wa kisiasa..."
Mzee yule alikuwa na hekima sana huenda kama za mfalme Suleiman. leo ni kweli yanatokea...... Mwl. Nyerere bila shaka anastahili kwa kanisa Katoliki kumtangaza mwenyeherina hata Mtakatifu. Alikuwa na maono sana kama manabii ambao walikuwa wanaongeana Mwenyezi mungu.
yule mzee tutamkumbuka sana.Dua la kuku.Atakula mvua miaka mitatu jela
Subiri uoneDua la kuku.
GODBLESS LEMA.
Hazina ya taifa gani?Lema ni haZina kwa Taifa
nabii wa kitu gani?Nabii Lema ni shujaa .
Utasubiri sana kwa hiloAtakula mvua miaka mitatu jela
Hahahahahaha mmeyapuka mnashindwa kuyapakuaNdio hiyo![]()