Arusha: Lema amewapa kilema Wanaarusha

Arusha: Lema amewapa kilema Wanaarusha

Vuta-Nikuvute
Mawakili 18 kumtetea Lema hii inaonyesha pasipo Shaka kwamba Hali Yake imeimarika

5 days ago - MAWAKILI 18 CHADEMA KUMTETEA LEMA. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (wapili ...
 
Mbunge wa Arusha Mjini, aliyepo mahabusu, Godbless Jonathan Lema (CHADEMA), amewapa kilema wanaArusha. WanaArusha hawa si wale wa miaka ile. Hawa wanajadili mambo kwa uwazi, ujasiri, umakini, utulivu na umoja.

Nipo hapa Arusha karibu juma moja sasa. Nilikuja hapa kujiridhisha na kuthibitisha kuhusu nilichoripoti nikiwa Dar es Salaam kuhusu Lema kuendelea kutekeleza majukumu yake ya Ubunge akiwa Mahabusu.Nilisema hivi:Arusha: Lema 'aendelea kuongoza' akiwa mahabusu

Nimejiridhisha vya kutisha na kutosha kuwa Lema anaiongoza Arusha na kuaminika,kukubalika na bado 'yupo' na wanaArusha wake. Anasifiwa zaidi ya kukandiwa; anasemwa vyema kuliko kukosolewa. Anaonwa kama 'Baba wa Nuru' ya kifikra Arusha.

Kwa mara nyingine, nimemtembelea Lema. Yuko 'gado' na mwenye ari kubwa. Anasubiri hatma yake tamu ya kisheria kuhusu yanayomkabili. Hajutii kuwa katika hali aliyopo kwa 'kukisimamia' anachokiamini.

Arusha yang'ara, Arusha yasonga mbele na Lema wake.

Mwafaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)


Sasa hivi arusha shwari big up mhe gambo, .
 
Sasa hivi arusha shwari big up mhe gambo, .
Unaweza ukadhani ni kitu cha kufurahisha sana,lakini siku nduguyo akiingizwa hapo na huyo huyo Majigambo utajua nini maana ya Futari.Hongera kwa kupandikiza Chuki miongoni mwa Watanzania. Kwetu Lema ni shujaa kuzidi Mwenyekiti wa CCM. Tungekuwa nabRais Kama yeye Tanzania tusingelalamika
 
La Tanzania. Kama tungekuwa na Rais kama Lema Tanzania ingekuwa mbali sana.Pole ndiyo Kipenzi Cha Watanzania wengi kwa saaa
Mshaurini aache kuandikia viongozi wenzake sms za ajabu.

na akipona kwenye hii kesi ya mkuu wa Mkoa arudi akatambike Uchagani.
 
Wewe umetumwa/hongwa.andika mambo yenye maana si upuuzi wa mpumbavu lema.what is lema?boll shit.
 
sisi kina gogo la shamba tulishasema Lema amejijengea umaarufu kama wa Madela na siku akitoka Arusha itakuwa na nderemo ya zaidi ya siku ile tuliyopata Uhuru,maana sisi kina gogo la shamba kazi yetu ni kusema ukweli kama vile tulivyosema kwamba,uchaguzi wa 2015 ushindi uliopatikana Arusha ni kwa ajili ya juhudi za Lema, wenye kubisha watabisha lakini mtajionea wenyewe siku Lema atakapotoka gerezani hata kama atafungwa atatoka kwa staili niliyoisema
 
Mshaurini aache kuandikia viongozi wenzake sms za ajabu.

na akipona kwenye hii kesi ya mkuu wa Mkoa arudi akatambike Uchagani.
Alijuwa hajijui kuwa alikuwa "hot target"sasa kaingia mwenyewe,sasa ndio atajua nini maana ya dola.
 
Jamani naomba niutangaze msimamo wangu wazi; Sina chama!!! Baada ya hayo nasema; Kumfunga Lema haswa kipindi hiki cha ukimya wa kulazimishwa wa upinzani si tu kumwinua Lema bali ni kuupalilia na kuuwekea mbolea upinzani. Hata bila mikutano hadi 2020 huku ni kuutangaza upinzani kwa hali ya juu.
Ombi langu; Kweli sasa hivi sipendi upinzani utawale kwa sababu ya hasira zilizowashwa kwao, lakini, ccm badilikeni basi kidogo. Wapeni nafwasi nao wajitutumue hata ka ni kwa nguvu ya soda. Makali yao yatapungua, ila mkiendelea na ugumu wenu wa mioyo, 2020 mmejimaliza wenyewe. Mbona hamjiulizi; Huku ndiko tuliwaahidi wananchi kuwa tutawapeleka??
Viwanda, huu ni mwaka sasa plus; Hata cha vibiriti?? Hata cha kusindikia mahindi? hata cha ngozi kule Mwanza?
Mwaka na, hata robo km ya barabara mpya?? Yule Mh. JPM wa ujenzi yuko wapi?? Naomba msiniseme kuwa mchochezi ila najiuliza tu.
Hakuna katika tawala zoote, kipindi kodi zililipwa ka hiki. Ziko wapi?? Sijui, labda kina Barbarosa ndo wanaziona na Lizaboni wake. Fitina kwangu, Mwiko
 
Mbunge wa Arusha Mjini, aliyepo mahabusu, Godbless Jonathan Lema (CHADEMA), amewapa kilema wanaArusha. WanaArusha hawa si wale wa miaka ile. Hawa wanajadili mambo kwa uwazi, ujasiri, umakini, utulivu na umoja.

Nipo hapa Arusha karibu juma moja sasa. Nilikuja hapa kujiridhisha na kuthibitisha kuhusu nilichoripoti nikiwa Dar es Salaam kuhusu Lema kuendelea kutekeleza majukumu yake ya Ubunge akiwa Mahabusu.Nilisema hivi:Arusha: Lema 'aendelea kuongoza' akiwa mahabusu

Nimejiridhisha vya kutisha na kutosha kuwa Lema anaiongoza Arusha na kuaminika,kukubalika na bado 'yupo' na wanaArusha wake. Anasifiwa zaidi ya kukandiwa; anasemwa vyema kuliko kukosolewa. Anaonwa kama 'Baba wa Nuru' ya kifikra Arusha.

Kwa mara nyingine, nimemtembelea Lema. Yuko 'gado' na mwenye ari kubwa. Anasubiri hatma yake tamu ya kisheria kuhusu yanayomkabili. Hajutii kuwa katika hali aliyopo kwa 'kukisimamia' anachokiamini.

Arusha yang'ara, Arusha yasonga mbele na Lema wake.

Mwafaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Arusha ipi hiyo umeenda? Mimi hapa wa arusha miaka nenda rudi, Ile ujinga sasa hivi hamna, wakumsindikiza tu mahakamani siku hizi hawapatikani. Hao viongozi wake wa kitaifa wenyewe wamemtembelea baada ya watu kupiga kelele na kujiuliza kulikoni. Mpeni kick huku kwenye mtandao lakini kwenye real life ya politics he is done.
Kabla ya uchaguzi wa 2016 chadema walijua kama lema akisimama atalipoteza jumbo, arusha yote tulijua hivyo, kilicho mrudisha Lena jimboni ni upepo wa Lowassa, kila mjanja na smart aliliona hivyo, na ni upepo huo huo ndiyo uliwanyanyua chadema na ukawa kwa ujumla. Lema Basra ya kupenya kupitia upepo wa white hair, naturist makosa ya siasa zile zile za mwaka 47.
Lakini hali imezidi kuwa mbaya sababu ameshindwa kutumia upepo wa lowassa ambao kiukweli ndiyo ulio mps ubunge, sababu hakuwa na chochote cha kuwaonesha watu wa arusha kama kielelezo cha kazi yake ya ubunge.lakini hajifunzi kutokana na makosa let's wait lambda upepo wa lowassa utafanya miracle tens.
 
Back
Top Bottom