Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
Sababu ipo,Lema si yuko honeymoon na punde anataka kujenga makazi ya kudumu msituni.Wanakamatwakamatwa bila sababu, wanapigwa kama wanyama, wanaporwa vitu vyao na hao mgambo wa jiji.
Sababu ipo,Lema si yuko honeymoon na punde anataka kujenga makazi ya kudumu msituni.Wanakamatwakamatwa bila sababu, wanapigwa kama wanyama, wanaporwa vitu vyao na hao mgambo wa jiji.
Weka ushahidi JF siyo sehemu ya porojo.
mbona kama unafurahia unanyanyasaji kwa watanzania wenzako??
Inajulikana wewe ndo unaongoza kwa projo.Weka ushahidi JF siyo sehemu ya porojo.
Leo wamama wamechoka na wameiponda ponda ofisi ya manispaa hapa Arusha...Hakuna sehemu pasipo na uonevu, ila Siku zote amani ipo kwa kua wanaoonewa wanapuuzia kuonewa kwao, ila wanapoamua kupinga kuonewa huko ndipo machafuko yanatokea. Tanzania ina amani kwa kua watanzania ni wapuuziaji wa uonevu tunaofanyiwa, HALAHALA CHADEMA MSITUFUNDISHE UJANJA TUKAIHARIBU NCHI YETU.