Arusha kwatifuka; machinga wakinukisha

Arusha kwatifuka; machinga wakinukisha

Waambie warudi mbugani wasichafue mji wa kitalii

sikushangai! upo kama akil yako, mawazo ya inzi!! maisha ya funza..hujui hata kutafuta, umezoea kutafutiwa na kutiwa! ndiyo maana unaongea bila adabu! kilochindi wewe
 
Wafanyabiashara wadogowadogo wameandamana kwenda kwenye ofisi za manispaa zilizoko maeneo ya Levolosi wakipinga unyanyasaji unaofanywa na mgambo wa kunyang'anywa vitu vyao na kuvigawana...

hayo ndio maisha bora kwa kila mtanzania.
 
Back
Top Bottom