muhogomtamu
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 412
- 69
aksante,vp cdm hawajaanza kuhusishwa na vuguvugu ilo?
Kwani makatibu waenezi wameshaanza kutoa matamko, a.k.a kueneza?
aksante,vp cdm hawajaanza kuhusishwa na vuguvugu ilo?
Weka ushahidi JF siyo sehemu ya porojo.
Nini maana ya Breaking News!
Mkuu RitzHii habari nayo ni Breaking News?
Mkuu Ritz
Wameishiwa habari; hivi madiwani wa Arusha si wao? Inakuwaje wanashindwa kuweka sheria za kuwalinda wafanyibiashara ndogondogo?
Chama
Mongavyeru
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mbona habari hii Ina walakini!?
Wewe ndio upo kwenye nafsi yangu?
Mkuu Chama,wanajaribu kukimbia na kupotezea thread zinawanyima usingizi na kuweweseka kwa wiki sasa.Mkuu Ritz
Wameishiwa habari; hivi madiwani wa Arusha si wao? Inakuwaje wanashindwa kuweka sheria za kuwalinda wafanyibiashara ndogondogo?
Chama
Mongavyeru
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hii habari nayo ni Breaking News?
Chama gani kinahusika kuwahamasisha?
Mkuu Chama,wanajaribu kukimbia na kupotezea thread zinawanyima usingizi na kuweweseka kwa wiki sasa.
"cdm"!!!
Chadema mbona hamueleweki? Nyie ndio mna madiwani wengi kwenye halmashauri; sasa inakuwa hao watetezi wenu wa wanyonge wanashindwa kutunga sheria za kuwalinda wafanyibiashara wadogowadogo? Kuongoza si lelemama; mmekuwa mkiwatumia wamachinga sasa leo mnashindwa hata kuwatetea?Hakuna chama hapa! uonevu ukizidi ndiyo inavyokuwa, kudai haki ni lazma! wakinamama wanaandama kupinga kuchukuliwa vitu vyao vinavyowasaidia kupambana na umaskini.
MDADA: Unakunywa pombe?
MKAKA: Hapana
MDADA: Unavuta?
MKAKA: Hapana
MDADA: Una mademu?
MKAKA: Hapana MDADA: Sasa unajichanganyaje na washkaji?
MKAKA: Mi muongo ile mbaya