PreGE2025 Arusha kuna nini, Kwanini kila kitu kinafanyikia huko?

PreGE2025 Arusha kuna nini, Kwanini kila kitu kinafanyikia huko?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Hiyo ni Ngome ya CHADEMA, na kama Uchaguzi utakuwa wa HURU na HAKI hilo Jimbo la Nabii Lema linarejea, hata kama CCM itachinja Ng'ombe milioni kumi na kugawa minofu ya RUSHWA bure kwa Wanachuga.
Uwo msamiati utoshhe kubakia kwenye vitàbu hakuna uchaguz huru na wa haki popote pale duniani
 
Wangeweza kufanyia hata Katavi, lakini RC wa Arusha anaonekana ni sharp kwenye kutafuta connection na mahusiano na Wadau

Hakuna kitu. Wabajikomba kwa Wamasai baada ya kuuza maeneo yao kwa Wajomba na kujifanya wanawahamishia Tanga.

Wamasai wasidanganyike. Baada ya uchaguzi Msza atakuja kumalizia mchezo.
 
Hakuna kitu. Wabajikomba kwa Wamasai baada ya kuuza maeneo yao kwa Wajomba na kujifanya wanawahamishia Tanga.

Wamasai wasidanganyike. Baada ya uchaguzi Msza atakuja kumalizia mchezo.
Umesema kweli Mkuu, itakuwa ni mbinu ya kuwapoza Wamassai ili wawape kura chaguzi ujao
 
Wangeweza kufanyia hata Katavi, lakini RC wa Arusha anaonekana ni sharp kwenye kutafuta connection na mahusiano na Wadau
Makonda mtoto wa juzi, Arusha iko hivyo tangia zamani. Ni mji mzuri wa kijanja, hali ya hewa nzuri, mahoteli makubwa, facilities za kimataifa, umetulia. Tembelea na we uone.
 
Makonda mtoto wa juzi, Arusha iko hivyo tangia zamani. Ni mji mzuri wa kijanja, hali ya hewa nzuri, mahoteli makubwa, facilities za kimataifa, umetulia. Tembelea na we uone.
Nimekuwa nakuja Arusha mara nyingi kwaajili ya mapumziko na kurefresh

Nafahamu kiasi mambo ya Arusha na mazingira yake

Kubali kwamba Makonda anajua kufanya lobbying japo mazingira na hali ya hewa ya Mkoa imefanya Mkoa kupendwa na Wageni pia
 
Back
Top Bottom