PreGE2025 Arusha kuna nini, Kwanini kila kitu kinafanyikia huko?

PreGE2025 Arusha kuna nini, Kwanini kila kitu kinafanyikia huko?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Hiyo ni Ngome ya CHADEMA, na kama Uchaguzi utakuwa wa HURU na HAKI hilo Jimbo la Nabii Lema linarejea, hata kama CCM itachinja Ng'ombe milioni kumi na kugawa minofu ya RUSHWA bure kwa Wanachuga.
 
Genevieve Of Africa
20250308_045524.jpg

Ni Geneva of africa
 
Umekuwa makini kwenye Jamii ya kiswahili twende kihehe
Umekuwa makini kwenye Jamii ya kiswahili twende spain vip
Umekuwa makini kwenye Jamii ya kiswahili twende kiarabu
Umekuwa makini kwenye Jamii ya kiswahili twende Kiwanji
Umekuwa makini kwenye Jamii ya kiswahili twende Kibena
Twende kimakonde
 
Lengo ni kuvunja Ngome ya chadema
 
Back
Top Bottom