Arusha: Kuhusu Lowassa, Wana-Arusha hawajui

Arusha: Kuhusu Lowassa, Wana-Arusha hawajui

Tupa tupa unajiaibisha ... sio kila kitu unadandia utakuja dandia vitu vinavyoumiza shauri yako...
 
Imesemwa kuwa jiji la Arusha litatikiswa kesho na Lowassa. Ya kwamba Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. Ya kwamba mtikisiko huo utatokea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid hapa Arusha. TeamLowassa imekuwa ikitangaza mitandaoni, luningani na magazetini. Inatangazwa Jumamosi ya kesho,tarehe 16/5/2015. Mambo hapa ni tofauti sana. Hata mimi nimeshangaa mno. Watu wa Arusha hata hawajui kama kuna jambo hilo.

Nimefika hapa jana jioni. Nmezunguka jijini Arusha na kuzungumza na wenyeji wa Arusha. Wakaazi wa Arusha hawajui lolote kuhusu kesho. Nikadokezwa kuwa kama jambo hilo lipo basi wahudhuriaji wataletwa kwa mabasi, malori,ndege na kadhalika. Si wenyeji wa jiji la Arusha. Kwa ninachokishuhudia hapa, naamini nilichoambiwa na wana-Arusha.

Yawezekana Lowassa meshauriwa vibaya. Ya kuwa anakubalika Arusha nahivyo atangaze nia hapa. Amedanganywa. Arusha si uwanja wa kutambia kwa Lowassa na hata CCM yetu. Arusha si uwanja vutizi kutamba na kijni kibichi(ndugu zangu Lunyungu, Bramo Elli na MANI wanajua).

Nasubiri kuona na kupokea wageni wakutikisa Arusha na nchi kwa ujumla hiyo kesho!


Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Arusha)
Mtu mzima umeumbuka haujui hata kama mkutano umeharishwa.

Teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
Mzee wmenzangu, mie nimewapa baraka zote waendeleee, japo hawakutupatia barua za mwaliko na mialiko lakini nimewapa ruhusa ya dhati, wasi wasi wangu ni ile tabia ya kupata ajali mara warudipo toka kwenye mikutano hii, tumeshuhudia wengi wakipoteza maisha na kupata ulemavu na wengine kupata hata mimba ziisizotarajiwa kutokana na kutelekezwa mara baada ya mikutano kuisha
 
Wanadai Leo Arusha inatikisikia maeneo ya msikitini maeneno ya uswazi kati pale

Team lowassa wana magadhabu na mtu atakayemgusa jamaa yao, sijui wamepewa nini hawa watu
 
Arusha ipi unayoizungumza? Usije ukawa unazungumzia Arusha juu?Kwa wengi walio wageni hawawezi kujua nina maana gani nikiandika Arusha Juu.Tulia mkuu wakati uliopangwa ukifika utaimeza hiyo dawa.
 
Imesemwa kuwa jiji la Arusha litatikiswa kesho na Lowassa. Ya kwamba Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. Ya kwamba mtikisiko huo utatokea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid hapa Arusha. TeamLowassa imekuwa ikitangaza mitandaoni, luningani na magazetini. Inatangazwa Jumamosi ya kesho,tarehe 16/5/2015. Mambo hapa ni tofauti sana. Hata mimi nimeshangaa mno. Watu wa Arusha hata hawajui kama kuna jambo hilo.

Nimefika hapa jana jioni. Nmezunguka jijini Arusha na kuzungumza na wenyeji wa Arusha. Wakaazi wa Arusha hawajui lolote kuhusu kesho. Nikadokezwa kuwa kama jambo hilo lipo basi wahudhuriaji wataletwa kwa mabasi, malori,ndege na kadhalika. Si wenyeji wa jiji la Arusha. Kwa ninachokishuhudia hapa, naamini nilichoambiwa na wana-Arusha.

Yawezekana Lowassa meshauriwa vibaya. Ya kuwa anakubalika Arusha nahivyo atangaze nia hapa. Amedanganywa. Arusha si uwanja wa kutambia kwa Lowassa na hata CCM yetu. Arusha si uwanja vutizi kutamba na kijni kibichi(ndugu zangu Lunyungu, Bramo Elli na MANI wanajua).

Nasubiri kuona na kupokea wageni wakutikisa Arusha na nchi kwa ujumla hiyo kesho!


Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Arusha)

Hivi nyie mnaotumwa na nepi mna matatizo gani au bongo zenu zimeoza?wadudu wanakutekenya ubongo eee.shutuuuup
 
Last edited by a moderator:
Imesemwa kuwa jiji la Arusha litatikiswa kesho na Lowassa. Ya kwamba Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. Ya kwamba mtikisiko huo utatokea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid hapa Arusha. TeamLowassa imekuwa ikitangaza mitandaoni, luningani na magazetini. Inatangazwa Jumamosi ya kesho,tarehe 16/5/2015. Mambo hapa ni tofauti sana. Hata mimi nimeshangaa mno. Watu wa Arusha hata hawajui kama kuna jambo hilo.

Nimefika hapa jana jioni. Nmezunguka jijini Arusha na kuzungumza na wenyeji wa Arusha. Wakaazi wa Arusha hawajui lolote kuhusu kesho. Nikadokezwa kuwa kama jambo hilo lipo basi wahudhuriaji wataletwa kwa mabasi, malori,ndege na kadhalika. Si wenyeji wa jiji la Arusha. Kwa ninachokishuhudia hapa, naamini nilichoambiwa na wana-Arusha.

Yawezekana Lowassa meshauriwa vibaya. Ya kuwa anakubalika Arusha nahivyo atangaze nia hapa. Amedanganywa. Arusha si uwanja wa kutambia kwa Lowassa na hata CCM yetu. Arusha si uwanja vutizi kutamba na kijni kibichi(ndugu zangu Lunyungu, Bramo Elli na MANI wanajua).

Nasubiri kuona na kupokea wageni wakutikisa Arusha na nchi kwa ujumla hiyo kesho!


Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Arusha)

Hufatilii wewe,ilishaahirishwa moaka may 24
 
Last edited by a moderator:
Imesemwa kuwa jiji la Arusha litatikiswa kesho na Lowassa. Ya kwamba Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. Ya kwamba mtikisiko huo utatokea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid hapa Arusha. TeamLowassa imekuwa ikitangaza mitandaoni, luningani na magazetini. Inatangazwa Jumamosi ya kesho,tarehe 16/5/2015. Mambo hapa ni tofauti sana. Hata mimi nimeshangaa mno. Watu wa Arusha hata hawajui kama kuna jambo hilo.

Nimefika hapa jana jioni. Nmezunguka jijini Arusha na kuzungumza na wenyeji wa Arusha. Wakaazi wa Arusha hawajui lolote kuhusu kesho. Nikadokezwa kuwa kama jambo hilo lipo basi wahudhuriaji wataletwa kwa mabasi, malori,ndege na kadhalika. Si wenyeji wa jiji la Arusha. Kwa ninachokishuhudia hapa, naamini nilichoambiwa na wana-Arusha.

Yawezekana Lowassa meshauriwa vibaya. Ya kuwa anakubalika Arusha nahivyo atangaze nia hapa. Amedanganywa. Arusha si uwanja wa kutambia kwa Lowassa na hata CCM yetu. Arusha si uwanja vutizi kutamba na kijni kibichi(ndugu zangu Lunyungu, Bramo Elli na MANI wanajua).

Nasubiri kuona na kupokea wageni wakutikisa Arusha na nchi kwa ujumla hiyo kesho!


Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Arusha)

Hapo Lowassa hajatangaza Nia cheki. Unavyoweweseka, akitangaza si ndo utakufa kabisa
 
Last edited by a moderator:
Imesemwa kuwa jiji la Arusha litatikiswa kesho na Lowassa. Ya kwamba Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. Ya kwamba mtikisiko huo utatokea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid hapa Arusha. TeamLowassa imekuwa ikitangaza mitandaoni, luningani na magazetini. Inatangazwa Jumamosi ya kesho,tarehe 16/5/2015. Mambo hapa ni tofauti sana. Hata mimi nimeshangaa mno. Watu wa Arusha hata hawajui kama kuna jambo hilo.

Nimefika hapa jana jioni. Nmezunguka jijini Arusha na kuzungumza na wenyeji wa Arusha. Wakaazi wa Arusha hawajui lolote kuhusu kesho. Nikadokezwa kuwa kama jambo hilo lipo basi wahudhuriaji wataletwa kwa mabasi, malori,ndege na kadhalika. Si wenyeji wa jiji la Arusha. Kwa ninachokishuhudia hapa, naamini nilichoambiwa na wana-Arusha.

Yawezekana Lowassa meshauriwa vibaya. Ya kuwa anakubalika Arusha nahivyo atangaze nia hapa. Amedanganywa. Arusha si uwanja wa kutambia kwa Lowassa na hata CCM yetu. Arusha si uwanja vutizi kutamba na kijni kibichi(ndugu zangu Lunyungu, Bramo Elli na MANI wanajua).

Nasubiri kuona na kupokea wageni wakutikisa Arusha na nchi kwa ujumla hiyo kesho!


Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Arusha)

Vita nikuvute jina lako tata post yako. Mwaka mtapata shinikizo LA damu.
 
Last edited by a moderator:
mbona kila siku huu mkutano unasogezwa mbele? nini tatizo? kwa nini msisubili chama kitangaze utaratibu ndo mje hapa kutuhangaisha.
Pesa tunazochanga kupitia vodacom meza kameza zote.
 
  • Hata kama Arusha hawamuungi mkono, haitamzuia yeye kutangaza nia nyumbani kwake. Arusha ni kwake kwa hiyo acha ombeya. Ulitaka nia aitangaze wapi? kweli vichwa vingine bwana shida tupu. post kitu cha msingi na si umbeya na chuki dhidi ya Lowassa.
 
  • Hata kama Arusha hawamuungi mkono, haitamzuia yeye kutangaza nia nyumbani kwake. Arusha ni kwake kwa hiyo acha ombeya. Ulitaka nia aitangaze wapi? kweli vichwa vingine bwana shida tupu. post kitu cha msingi na si umbeya na chuki dhidi ya Lowassa.

Esiphaa lalahe lay.
 
Imesemwa kuwa jiji la Arusha litatikiswa kesho na Lowassa. Ya kwamba Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. Ya kwamba mtikisiko huo utatokea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid hapa Arusha. TeamLowassa imekuwa ikitangaza mitandaoni, luningani na magazetini. Inatangazwa Jumamosi ya kesho,tarehe 16/5/2015. Mambo hapa ni tofauti sana. Hata mimi nimeshangaa mno. Watu wa Arusha hata hawajui kama kuna jambo hilo.

Nimefika hapa jana jioni. Nmezunguka jijini Arusha na kuzungumza na wenyeji wa Arusha. Wakaazi wa Arusha hawajui lolote kuhusu kesho. Nikadokezwa kuwa kama jambo hilo lipo basi wahudhuriaji wataletwa kwa mabasi, malori,ndege na kadhalika. Si wenyeji wa jiji la Arusha. Kwa ninachokishuhudia hapa, naamini nilichoambiwa na wana-Arusha.

Yawezekana Lowassa meshauriwa vibaya. Ya kuwa anakubalika Arusha nahivyo atangaze nia hapa. Amedanganywa. Arusha si uwanja wa kutambia kwa Lowassa na hata CCM yetu. Arusha si uwanja vutizi kutamba na kijni kibichi(ndugu zangu Lunyungu, Bramo Elli na MANI wanajua).

Nasubiri kuona na kupokea wageni wakutikisa Arusha na nchi kwa ujumla hiyo kesho!


Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Arusha)


Stop being political prostitute....!!! Acha kutuaibisha wana CCM....mm kama CCM, mwenye uwezo mkubwa tu wa akili na mali, UNATIA KINYAA CCM ww...
Acha kutuonyesha CCM wote wapuuzi kama ww...!!! Hujui kitu, unafiki tu, ndio maana umeenda Arachuga, wakati KIKAO CHAKE KIMEAHIRISHWA HADI TAR. 24 May....si ajabu haujaenda unapima upepo...nosense

EL..is another trusted Best Leader in CCM...so acha upuuzi, unamchafua ili iweje...!!? Kama unaona hakufai, nenda UKAWA...period..!!?
 
Last edited by a moderator:
Mbwa na jambazi sugu fisadi papa lowasa. Watu wanafata pesa za kifisadi za lowasaa
 
Hongereni kwa kumtaja Lowassa kila siku,kumbe mnapendaeer ndiyo raid we2 awamu ya 5
 
Back
Top Bottom