Arusha: Kuhusu Lowassa, Wana-Arusha hawajui

Arusha: Kuhusu Lowassa, Wana-Arusha hawajui

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Imesemwa kuwa jiji la Arusha litatikiswa kesho na Lowassa. Ya kwamba Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. Ya kwamba mtikisiko huo utatokea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid hapa Arusha. TeamLowassa imekuwa ikitangaza mitandaoni, luningani na magazetini. Inatangazwa Jumamosi ya kesho,tarehe 16/5/2015. Mambo hapa ni tofauti sana. Hata mimi nimeshangaa mno. Watu wa Arusha hata hawajui kama kuna jambo hilo.

Nimefika hapa jana jioni. Nmezunguka jijini Arusha na kuzungumza na wenyeji wa Arusha. Wakaazi wa Arusha hawajui lolote kuhusu kesho. Nikadokezwa kuwa kama jambo hilo lipo basi wahudhuriaji wataletwa kwa mabasi, malori,ndege na kadhalika. Si wenyeji wa jiji la Arusha. Kwa ninachokishuhudia hapa, naamini nilichoambiwa na wana-Arusha.

Yawezekana Lowassa meshauriwa vibaya. Ya kuwa anakubalika Arusha nahivyo atangaze nia hapa. Amedanganywa. Arusha si uwanja wa kutambia kwa Lowassa na hata CCM yetu. Arusha si uwanja vutizi kutamba na kijni kibichi(ndugu zangu Lunyungu, Bramo Elli na MANI wanajua).

Nasubiri kuona na kupokea wageni wakutikisa Arusha na nchi kwa ujumla hiyo kesho!


Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Arusha)
 
Last edited by a moderator:
Mbona nasikia imesogezwa mbele mpaka tarehe 23/5?
 
Mkuu VUTA-NKUVUTE,kwa hiyo Mkuu umetumwa na Lumumba na kile kitengo cha Mangula ili uongeze sababu za kujazia file la kumkata Laigwani??!

Lowasa hafai sawa,nani aliemsafi ndani ya CCM??!! Tuambieni yupi wa afadhali zaidi ya kutumia laghai ya maneno ya Hayati Nyerere na family yake kuhadaa umma??!! Au ndio mnampigania vita ya ushindi raisi wenu wa kwenye briefcase??!!

Mimi naamini kwa CCM ya sasa hata Malaika akishushwa agombee uraisi kwa CCM hatofaa na atakuwa shetani tu kutokana na mfumo wa kishetani uliomea kwa miaka takribani 40 ya CCM,CCM lazima ife kwanza then tuone itachipukaje kwani CCM hii ya waabudu ushetani wa ubinfsi,ufujaji na uhuni pasi na haya ya maslahi ya Taifa na vizazi vijavyo imebakisha kutuletea vita tu!!!
 
Last edited by a moderator:
kwanini udanganye watu kuwa upo Arusha ilihali haupo Arusha! Jipange upya acha kudanganya watu.Pia kesho mkutano wa Lowasa hautakuwepo mpaka trh 23,ungekuwa mfuatiliaji wa mambo kweli kama unavyojinasibu ungekwishajua kuwa kesho hakuna mkutano huo,zaidi zaidi wewe unachofanya NI KUPIGA RAMLI
 
Wakazi wa Arusha tunajua mkutano umeahirishwa acha kukurupuka.
 
Wakazi wa Arusha tunajua mkutano umeahirishwa acha kukurupuka.
 
kwanini udanganye watu kuwa upo Arusha ilihali haupo Arusha! Jipange upya acha kudanganya watu.Pia kesho mkutano wa Lowasa hautakuwepo mpaka trh 23,ungekuwa mfuatiliaji wa mambo kweli kama unavyojinasibu ungekwishajua kuwa kesho hakuna mkutano huo,zaidi zaidi wewe unachofanya NI KUPIGA RAMLI

mbona kila siku huu mkutano unasogezwa mbele? nini tatizo? kwa nini msisubili chama kitangaze utaratibu ndo mje hapa kutuhangaisha.
 
Mkuu VUTA-NKUVUTE,kwa hiyo Mkuu umetumwa na Lumumba na kile kitengo cha Mangula ili uongeze sababu za kujazia file la kumkata Laigwani??!

Lowasa hafai sawa,nani aliemsafi ndani ya CCM??!! Tuambieni yupi wa afadhali zaidi ya kutumia laghai ya maneno ya Hayati Nyerere na family yake kuhadaa umma??!! Au ndio mnampigania vita ya ushindi raisi wenu wa kwenye briefcase??!!

Mimi naamini kwa CCM ya sasa hata Malaika akishushwa agombee uraisi kwa CCM hatofaa na atakuwa shetani tu kutokana na mfumo wa kishetani uliomea kwa miaka takribani 40 ya CCM,CCM lazima ife kwanza then tuone itachipukaje kwani CCM hii ya waabudu ushetani wa ubinfsi,ufujaji na uhuni pasi na haya ya maslahi ya Taifa na vizazi vijavyo imebakisha kutuletea vita tu!!!

Unanisingizia

Mzee Tupatupa
 
Imesemwa kuwa jiji la Arusha litatikiswa kesho na Lowassa. Ya kwamba Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. Ya kwamba mtikisiko huo utatokea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid hapa Arusha. TeamLowassa imekuwa ikitangaza mitandaoni, luningani na magazetini. Inatangazwa Jumamosi ya kesho,tarehe 16/5/2015. Mambo hapa ni tofauti sana. Hata mimi nimeshangaa mno. Watu wa Arusha hata hawajui kama kuna jambo hilo.

Nimefika hapa jana jioni. Nmezunguka jijini Arusha na kuzungumza na wenyeji wa Arusha. Wakaazi wa Arusha hawajui lolote kuhusu kesho. Nikadokezwa kuwa kama jambo hilo lipo basi wahudhuriaji wataletwa kwa mabasi, malori,ndege na kadhalika. Si wenyeji wa jiji la Arusha. Kwa ninachokishuhudia hapa, naamini nilichoambiwa na wana-Arusha.

Yawezekana Lowassa meshauriwa vibaya. Ya kuwa anakubalika Arusha nahivyo atangaze nia hapa. Amedanganywa. Arusha si uwanja wa kutambia kwa Lowassa na hata CCM yetu. Arusha si uwanja vutizi kutamba na kijni kibichi(ndugu zangu Lunyungu, Bramo Elli na MANI wanajua).

Nasubiri kuona na kupokea wageni wakutikisa Arusha na nchi kwa ujumla hiyo kesho!


Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Arusha)

Hujui hata unaloongea wala haupo informed hata kidogo kama unavodai...eti upo Arusha mbona inaelekea unapost ukiwa nankurukuru...wana arusha wanajua sana kinachoendelea wewe na team yako ndo hamjui....na hayo mabasi...ndege labda wataletwa wafuasi wa huyo aliyekutuma kupost huu ujinga....ishia huko...kalale huko umeishiwa mzeeee...
 
Last edited by a moderator:
kwanini udanganye watu kuwa upo Arusha ilihali haupo Arusha! Jipange upya acha kudanganya watu.Pia kesho mkutano wa Lowasa hautakuwepo mpaka trh 23,ungekuwa mfuatiliaji wa mambo kweli kama unavyojinasibu ungekwishajua kuwa kesho hakuna mkutano huo,zaidi zaidi wewe unachofanya NI KUPIGA RAMLI

Thibitisha tu Mkuu

Mzee Tupatupa
 
Wacha viroja mkuu,jibu hoja,reputation yako ilikuwa nzuri sana miongoni mwa washenzi wengi wa Lumumba,ila tangu uingie kwenye shombo hili la uraisi unapwelepweta sana!!

Unachobisha hasa ni nini?

Mzee Tupatupa
 
Tupa tupa hana tofauti na mwanamke wa bar.Akiona wateja wa kiume lazima ajipitishe pitishe.
 
Unachobisha hasa ni nini?

Mzee Tupatupa

This is too low kwako,unless hii id ni multipurpose na kina laki si pesa na Juliana Shonza,rejea nilichokuuliza mwanzo,wacha kuwa kama mumunya kuharibikia ukubwani!!
 
Back
Top Bottom