Arusha: Kinyesi cha Binadamu Chatumika Kutengeneza Mkaa

Ndio nilichokiwaza cha kwanza kabisa kwamba mchakato wa ukusanyaji wa mali ghafi unakuaje?

Tunapatiwa vyoo maalum au tunaachana na matumizi ya hivi vyoo vya kawaida?

Na inawezekana kutumia kinyesi cha wanyama? Kama vile mbuzi, kondoo, ng'ombe n.k
Kaka ule mchakato wetu vp? Wa black carbon, nayo ni nzuri sana kwa hii mishe
 
Ndiyo ndiyo ni sisi wabunifu. Na soon tutaanzisha vituo vya kuuzia mavi. Unaingia unakunya then unalipwa kulingana na uzito wa kimba lako.

The more unatoa mzigo mzito the more the malipo.
 
Asante Mkuu

Molasesi ni msamiati kwangu
ni mabaki ya mwisho ya sukari baada ya kusafisha mitambo ya kusindika sukari kiwandani. Ni majimaji yanayofanana na lami nyepesi, molasisi ipo sana tpc, mtibwa na kagera kwenye viwanda vya sukari
 
Africa bado tunapambana na mkaa..sasa tumefikia mkaa wa mavi😎
Kie..kie..kie..
Mbinguni tutafika tumepigika sana.
This is Africa
 
Ndio nilichokiwaza cha kwanza kabisa kwamba mchakato wa ukusanyaji wa mali ghafi unakuaje?

Tunapatiwa vyoo maalum au tunaachana na matumizi ya hivi vyoo vya kawaida?

Na inawezekana kutumia kinyesi cha wanyama? Kama vile mbuzi, kondoo, ng'ombe n.k
Nakumbuka miaka hiyo kijijini, huenda hata sasa ipo...tulikuwa tunatumia kinyesi cha ng'ombe kama fuel/mkaa...

Kinyesi kinakaushwa hadi kinakuwa kikavu, halafu kinakuja kutumika kwenye jiko mfano wa tanuru dogo...kikiwaka mwanawane hakuna kuzima
 
Nakumbuka miaka hiyo kijijini, huenda hata sasa ipo...tulikuwa tunatumia kinyesi cha ng'ombe kama fuel/mkaa...

Kinyesi kinakaushwa hadi kinakuwa kikavu, halafu kinakuja kutumika kwenye jiko mfano wa tanuro dogo...kikiwaka mwanawane hakuna kuzima

Naikumbuka sana hiyo kitu.
 
ni mabaki ya mwisho ya sukari baada ya kusafisha mitambo ya kusindika sukari kiwandani. Ni majimaji yanayofanana na lami nyepesi, molasisi ipo sana tpc, mtibwa na kagera kwenye viwanda vya sukari
Asante sana kiongozi
 
Kutoka BBC asubuhi hii, kuna vijana wabunifu wakazi wa Arusha wamekuja na mkaa unaotokana na kinyesi cha binadamu.
  • Ni mkaa usio na athari yoyote kiafya hata kama mtu atalala nao ndani
  • Ni mkaa unaokaa muda mrefu kuliko mkaa wa kawaida.
  • Huwezi kuuzima na maji kama mkaa mwingine
  • Hauna moshi
  • Kinyesi kinachotengeneza mkaa huo kinakuwa kikavu kama keki
NB: sijaelewa vizuri aliposema unatengenezwa kwenye nyuzi joto 450
Na kisha mkaa ukachome mahindi mabichi, mbona patamu hapo
 
Kama buli(kinyesi chang'ombe) ukichoma Moto wake simchezo naamini Cha binadamu itakua Moto wakuote mbali
 
Back
Top Bottom