mkushi wa kushi
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 963
DuhUko sawa, leo anahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Wakati Kesi ya Uhujumu Uchumi ikiendelea. Na Ile ya Utakatishaji fedha ikiwa inamsubiria, hizo ni kwa mkoa wa Arusha, bado kule Kilimanjaro ana kesi kibao za kujibu
.
Akichomoka kwenye hizi kesi zote mtaani nina hakika hata chomoka.