Arusha: helicopter za jeshi zinazungunguka mji mzima

Arusha: helicopter za jeshi zinazungunguka mji mzima

Kanali Polepole aliwaambia waimarishe ulinzi anakuja kulipa kisasi, inasemekana ana drones za kutosha kutoka Nato🐼
 
Siku ya nne Leo helicopter 🚁 za jeshi zinazunguka kutwa nzima nzima .hii hali hatujawahi ona hapo kabla na hatujui sababu ni Nini haswa.
Labda watumwa na Mafwele wafanye doria kwa maelekezo ya Abdul.
 
Umesahau ahadi ya mbunge wenu kuwa December anawaletea komando anodi shoziniga hizo ndege ndio mandalizi yenyewe hayo kaa tayali kumuona baba jeni
 
Back
Top Bottom