Arusha haikulengwa dini...

Arusha haikulengwa dini...

Status
Not open for further replies.
Kwamba Wakatoliki hawana adui is hilarious. This guys must not have heard of Sinead O'Connor. And that's just sticking with the overly Catholic Irish. I am not even looking into Al-Qaeda.



Kwamba makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu haimaanishi kwamba makosa ya jinai hayawezi kufanywa na dini au dhehebu.

Viongozi wa Wakatoliki wenyewe wanavyobaka na kutetea ubakaji wa watoto ni mfano mzuri wa jinsi gani makosa ya jinai yanavyoweza kufanywa na dini au dhehebu.

Ukishasema uchunguzi uwe huru, hutakiwi kusema "bila ya kufungamanisha dini yoyote". Ukisema " "bila ya kufungamanisha dini yoyote" ushaunyima uchunguzi uhuru, what if it turns out hii attack ni ya kidini after all?

Kwa msingi huu wa kutaka kuwa expediently sceptical, naweza kuhoji kwa nini hili linaitwa "shambulio".

Inawezekana kabisa Wakatoliki wenyewe wamefanya kafara katika ibada ya kumsimika Papa mpya Tanzania.

Tuna ushahidi gani kwamba hilo bomu ni shambulio na si zindiko la Opus Dei?

- For those who don't get it, let me point this out. The above is a piece of sarcasm, mocking the presented idea to be just as ridiculous as the "zindiko la Opus Dei" I presented above.
 
Last edited by a moderator:
Kwa msingi huu wa kutaka kuwa sceptical, naweza kuhoji kwa nini hili linaitwa "shambulio".

Inawezekana kabisa Wakatoliki wenyewe wamefanya kafara katika ibada ya kumsimika Papa mpya Tanzania.

Tuna ushahidi gani kwamba hilo bomu si shambulio bali ni zindiko la Opus Dei?

- For those who don't get it, let me point this out. The above is a piece of sarcasm, mocking the presented idea to be just as ridiculous as the one I presented above.

Kinda like illustrating absurdity by being absurd?
 
Aman ya tanzania kwa sasa iko mikoni mwa wakiristo wakijibu mapigo 2 ya kuwachomea misikiti ndo amani bye bye

Huu udini nauona kwenye Siasa za JF tu. But kwenye social life including entertainment mbona bata tunagonga pamoja kwenye viti virefu ??

Hata Taifa pale game tunacheki pamoja,
Daladala tunagombea pamoja,
Na tusiokua na nauli basi ngondi pamoja tu.
Masokoni pamoja,
Madukani pamoja,
Kwenye maharusi kadi tunachangiana pamoja,
Kujirusha viwanja tupo pamoja sana tu!!
 
Chanzo ni NiNII?
Mimi nitasema chanzo ni Siasa za Chama Cha Majambazi.
Why?
Mambo mengi hapa nchini kwa sasa yanafanywa au yanaamuliwa kisiasa zaidi.
Suala la Dr. Ulimboka, madaktari walikuwa wanadai vitu vya msingi kabisa kwa faida ya nchi badala yake Dr. Ulimboka amekuja kudhurika na serikali mpaka leo haiwajui hawa watu waliomdhuru Dr. Ulimboka.
Same to Mwangosi, Kibanda wahusika hawajulikani.
Udini: kwenye hili suala la Arusha mimi sioni kama ni geni labda kwa sababu ni jipya ktk mkoa wa Arusha lkn tujiulize kabla ya hili la Arusha ni matukio mangapi yametokea yakiwamo ya mchungaji, padri kuuawa, makanisa kuchomwa, watu kugombea kuchinja lkn serikali iliyopo madarakani haijui na wala haitaki kujua nini chanzo, haikemei wala haitaki kukemea, haifanyi chochote kile.
CD, DvD, vipeperushi, mihadhara, makongamano, misikiti ya kujifunzia Ugaidi vyote hivi vinakashifu dini fulani lkn serikali inayotakiwa kusimamia haya yote inaona na ipo ila haijishughulishi na hawa wanaovunja sheria za nchi, ipo imekaa kimya.
Hapa kinachotokea ni watawala wamefika mwisho wa kuongoza na hawataki kuachia madaraka sasa wanatugawa kwa kutuchonganisha kidini ili sisi wananchi tuendelee kutandikana wao waendelee na maisha yao ya kutafuna nchi.
Lkn wanashindwa kuelewa kwamba wanachokipanga hakiwi kama wanavyotegemea.
Haya mauwaji, mateso, vimbwanga vyote hivi ni serikali inafanya kutugonganisha vichwa, haiwezekani uniambie padri auwawe tena bunduki asubuhi kweupe muhusika ashindwe kukamatwa eti mpaka FBI waje kuchora kikaragosi.
Kama hata kujilinda sisi kwa sisi hatuwezi basi tumpe nchi Mmarekani sisi tubakie kuwa manamba kwenye mashamba na viwanda vyao hapa Tz.
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

Tukio la Arusha ni la Kigaidi na la kidini, iwe chanzo ni ndani au nje ya nchi. Hakuna maslahi yeyote ya kuuwa waumini kwa jambazi au kibaka. Ugaidi uko wa aina nyingi ila wa kuvamia nyumba za ibada iwe kanisa au msikiti au hekalu hakuna kingine zaidi ya chuki za kidini, mahubiri mfu, na uewandawazimu wa baadhi ya watu. Kama unafanya upepelezi ukashindwa kujua viashiria utashindwa kupata wahalifu.

Moja jua motives, develop motives, fuatilia motives.
 
"Wewe" akiwa nani huyo? Na umetofautiana naye vipi?
Petro huyu Mselewa.
Sikubaliani naye kwamba ETI hakuna uadui wa kidini.
Kwamba ETI hakuna chokochoko za kidini zinazoendelea nchini na kama zipo KATU si dhidi ya ukatoliki.
Kwamba HADIDU REJEA za uchunguzi zisitaje kabisa neno udini.
Tukubali ukweli hata kama wakati mwingine unauma.
 
Ndugu wanabodi hawa ni mapandikizi wa al -qaeda na hii is a new version of politic islam ambayo imeanzia Saudi-arabia kwa kusaidiwa na CIA wakati wa kupiga vita comminism ya soviet union. Sect hii inaitwa Wahab na wao itikadi yake ni ubepari wa kizamani Feudalism. Kwa sasa hivi sect hii imejizatiti sana Afaghanistan na Pakistani ambako sasa hivi kumekuwa hakukaliki.SECT HII INAJITAMBULISHA KWA MAJINA TOFAUTI KILA KINAPOJITOKEZA, kule Nigeria kinaitwa BOKO HARAM,Somalia AL_SHABAAB,Kenya MOMBASA REPUBLICAN COUNCIL, Zanzibar UAMSHO na Tanzania SHURA YA MAIMAMU naomba idara za usalama Tanzania wakishughulikie kikundi hiki kabla hakijajizatiti na ikiwezekana kuomba idara za usalama za Russia kusaidia kwani Warusi wanakifahamu vizuri kikundi hiki na malengo yake kule Chechenya.
Naomba kuwasilisha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom