Arusha haikulengwa dini...

Arusha haikulengwa dini...

Status
Not open for further replies.
ACHENI uchochezi, mwawezaliingiza taifa ktk janga kubwa, Waislam hawana shida na wakristo. acheni uchunguzi ukamilike ndo muongee. kwani yaweza bainika kuwa wakristo haohao ndo wahusika. uchunguzi wa awali umeonyesha muhusika ni mkiristo AMBROSE. NA ukifuatilia maelezo yote toka mwanzo unaona niyakupika ambayo hayaeleweki,. mara mshambuliaji alivaa kanzu akapita kwa nyuma akarusha kwa mkono wa kulia akakimbia huku anaita mwizi mwizi., mara alikuwa ktk pikipki akarusha na kukimbia ,. mara walikuwa ktk gari, mara watu walimuona mrushaji mara mtoto ndiye alimuona. AU VIPI MSHAMBULIAJI AVAE KANZU NDIO AENDE KTK TUKIO LA KUDHURU ? BAdo inatia shaka kama mshambuliaji ambrosi alirusha akakimbia kwa kusema mwizimwizi kisha akarudi tena watu baadae wamepata fahamu ndo wakamkamata ?:fish2::A S confused::A S confused: akili changanya na zako

Mkuu hapa hakuna uchochezi huo ndo ukweli ninachoamini mimi ni kuwa si waislam wote wana chuki dhidi ya ukristo ila ni waislam wachache wanaofadhili na kutekeleza unyama huu,Tatizo linakuja pale waislam wanapoungana kupinga haya madai,Tukiungana kwa pamoja kila mmoja kwa imani yake kuvikataa vitendo hivi Tanzania itakuwa salama.
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

Mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo umuumbua tafakari izo methari halafu urudi umu utuambie umeelewa nini...kama umeanza VILOBA mapema acha nenda kapumzike.
 
Nadhani nikikuita mbu mbu mbu, pengine mbu ni nafuu bora nikuite nzi nzi nzi. Waliolipua bomu ni waislamu na walilenga kumuua balozi wa baba mtakatifu, askofu mkuu Padilla. wameshindwa, lakini damu ya wakatoliki imemwagika na hata sasa majeruhi wanaugulia maumivu makali hospitali. Tutaacha kufungamanisha dini siku bunge likilipuliwa......sio kanisa

'mbona wanaotajwa kulipua bomu ni wakisto victor, jeseph n.k'
 
umeshikilia mkia wa mbuzi unauliza sehemu ya kutolea haja ipo wapi. uchunguzi uendelee na ueleze bayana sio udini bali ni ujambazi tu walitaka kuiba sadaka napo tutaelewa.
Rai kama hiyo yalo ndio imefikisha nchi hapa tulipo kwa kuogopa kukemea cd za uchochezi na wachochezi wenyewe, mauaji ya mapadri yamefanyika, na bado unadiriki kusema dini hailengwi. ...
Chunguzi ngapi zimefanywa na majibu yake ni yepi. Wacha tuusubiri nao..

Taaabu ya baadhi ya watu ni urahisi wao wa kurubuniwa na kuaminishwa kwao kuwa kila kitu kinachovumishwa na watu wa mlengo wake...

hawatumii akili zao. Wala hawana haja ya kudadisi ama kufanya tafakuri ya kina na ya kimantiki kuhusu matukio yanayojiri nchini na duniani kote.

Ni wavivu wa kufikiri kwa vichwa vyao; na kwa sababu hiyo wamebaki kuwa wa kulalamika na kuamini hoja nyepesi nyepesi zinazopenyezwa na wajanja ambao kutokana na uzuzu wetu wanaweza kuusambaratisha umoja na mshikamano wetu kwa kutumia chambo maarufu ya siasa na udini...Halafu eti tunajifanya wajanja!!!!.....
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...
Ni kweli lile shambulia halikuwalenga Wakristo lililenga wafanyabiashara maana ndiyo wanamgogoro mkubwa na hawa watu walio muua mchungaji kule Zanzibar
 
Kweli mkuu wanaoua mapadri na wachungaji na kuchoma makanisa na leo wametupa au kutega bomu kanisani tuseme na kuamini ni siasa tu si udini?HIZO NI FIKRA MGANDO !
 
ACHENI uchochezi, mwawezaliingiza taifa ktk janga kubwa, Waislam hawana shida na wakristo. acheni uchunguzi ukamilike ndo muongee. kwani yaweza bainika kuwa wakristo haohao ndo wahusika. uchunguzi wa awali umeonyesha muhusika ni mkiristo AMBROSE. NA ukifuatilia maelezo yote toka mwanzo unaona niyakupika ambayo hayaeleweki,. mara mshambuliaji alivaa kanzu akapita kwa nyuma akarusha kwa mkono wa kulia akakimbia huku anaita mwizi mwizi., mara alikuwa ktk pikipki akarusha na kukimbia ,. mara walikuwa ktk gari, mara watu walimuona mrushaji mara mtoto ndiye alimuona. AU VIPI MSHAMBULIAJI AVAE KANZU NDIO AENDE KTK TUKIO LA KUDHURU ? BAdo inatia shaka kama mshambuliaji ambrosi alirusha akakimbia kwa kusema mwizimwizi kisha akarudi tena watu baadae wamepata fahamu ndo wakamkamata ?:fish2::A S confused::A S confused: akili changanya na zako

una uhakika waislam hawana shda na wakiristo? Hzo chuk mnahubr za nin?
 
Hata kama tunatakiwa kuheshimu uhuru wa kutoa maoni, kwa hili acha tusivumilie
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

kwanini hawakulenga soko kuu au ngarenaro.

kumbuka: hakuna ban kwa wasioanzisha uzi ama kuchangia - unaweza ukawa msomaji kama mimi
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...
Af wewe usinitie hasira nakwambia, tena acha kutuzingua.Tunauchungu wenzio.Ficha upumbavu wako
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

umepewa makuzi ya kinafiki
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

Sasa wewe unaposema upotoshaji, unamanisha unachosema wewe ni ukweli?
Naomba unijibu swali hili
Nini motivation ya mlipuaji/ walipuaji katika jumuiya wa wakatoliki tena siku ya tukio kubwa kama hilo wakati mikusanyiko ya CDM na CCM ni mikubwa kuliko ya kanisa?
Kama amewalipua wakatoliki huoni kwamba dhehebu moja limeathirika bila kujali mlipuaji/walipuaji walilenga udini au kitu gani?
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

Huoni aibi?
 
Mkuu Petro E. Mselewa

Nimekusoma vyema imenibidi nirudie mara mbili ili kujiaminisha kile ninanchokisoma ni sahihi au ni mauza uza ya hivi mvua zinazonyesha Arusha bila mpangilio.

Umedai shambulio la Arusha halikulenga UKRISTO/UKATOLIKI.Sawa pengine ungetueleza sababu za kutuaminisha ningekuelewa.Wahusika wakuu ni waSaudia Arabia ambao ni waIslamu wamemtumia muendesha boda boda masikini asiyekuwa na uhakika wa mlo wa siku kwenda kurusha bomu kwenye Ibada KANISANI halafu unatuambia halikulenga wakatoliki/wakristo.Baada ya shambulio haukufanyika wizi wa sadaka,wizi wa kitu chochote bali wapangaji wa shambulizi walikuwa wanatimkia Kenya baada ya kufanyakazi nzuri ya kua,kujerui na kuharibu mali za KANISA.

Najua huu ni msimamo wa serekali yetu ambayo imeshindwa kutuambia mpaka leo watesaji halisi wa Dr Ulimboka,wameshindwa kuwakamata mpaka leo washambuliaji wa nyumba za IBADA [MAKANISA] ambayo yamekuwa ni sehemu ya malengo ya mashambulizi kuanzia ZANZIBAR,TANGA,DAR na sasa ARUSHA.

Viongozi wa wakuu wa makanisa Tanzania wanatakiwa kuanzia sasa wawatangazie waumini wao kwamba serekali imeshindwa kuwalinda dhidi ya maadui wanaofahamika,wawatangazie kwamba serekali imekuwa ikiwadanganya mara zote inapenda amani lakini imeshindwa kuwakata na kuwafungulia mashtaka wasamabazaji wa kanda zenye mihadhara ya kashfa,imeshindwa kumkamata Ilunga na genge lake la magaidi.
 
Last edited by a moderator:
sio kusema ni uchochezi bali nikujiuliza swala muhimu....kwanini kanisa lishambuliwe??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom