Arusha haikulengwa dini...

Arusha haikulengwa dini...

Status
Not open for further replies.

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

umeshikilia mkia wa mbuzi unauliza sehemu ya kutolea haja ipo wapi. uchunguzi uendelee na ueleze bayana sio udini bali ni ujambazi tu walitaka kuiba sadaka napo tutaelewa.
Rai kama hiyo yalo ndio imefikisha nchi hapa tulipo kwa kuogopa kukemea cd za uchochezi na wachochezi wenyewe, mauaji ya mapadri yamefanyika, na bado unadiriki kusema dini hailengwi. ...
Chunguzi ngapi zimefanywa na majibu yake ni yepi. Wacha tuusubiri nao..
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

Huku ni kujipendekeza, huku ni kutaka cheap popularity. Kama una taarifa kamili nenda katoe kwa wanaopeleleza. Unakuwa kama Chris Lukosi? Taabu sana.

 
Last edited by a moderator:
Acha ushamba unaudhi sana mambo yanajulikan sana, padri mushi, mkenda , kanisa, mchungaji, hapa napo hawajalenga ukristo, why kanisani na si msikitini, kuna maeneo mengi wanaweza kulipua uwanja taifa, mtaa wa kongo, na maeneo yapo kibao yenye mkusanyikao disco hazina ata ulinzi, alshabab, m23 wanatafuta sehemu yenye maslahi na serikali kanisani uache ujua kuwa mjanaja haaraka...nyuuuuuuuuhhhhh( msonyo0}
ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...
Habari za usingizi ndugu. Naona ndo umeamka halafu umekuta wenzako wameshatimua. Pole sana brother.
 
Nadhani nikikuita mbu mbu mbu, pengine mbu ni nafuu bora nikuite nzi nzi nzi. Waliolipua bomu ni waislamu na walilenga kumuua balozi wa baba mtakatifu, askofu mkuu Padilla. wameshindwa, lakini damu ya wakatoliki imemwagika na hata sasa majeruhi wanaugulia maumivu makali hospitali. Tutaacha kufungamanisha dini siku bunge likilipuliwa......sio kanisa

ACHENI uchochezi, mwawezaliingiza taifa ktk janga kubwa, Waislam hawana shida na wakristo. acheni uchunguzi ukamilike ndo muongee. kwani yaweza bainika kuwa wakristo haohao ndo wahusika. uchunguzi wa awali umeonyesha muhusika ni mkiristo AMBROSE. NA ukifuatilia maelezo yote toka mwanzo unaona niyakupika ambayo hayaeleweki,. mara mshambuliaji alivaa kanzu akapita kwa nyuma akarusha kwa mkono wa kulia akakimbia huku anaita mwizi mwizi., mara alikuwa ktk pikipki akarusha na kukimbia ,. mara walikuwa ktk gari, mara watu walimuona mrushaji mara mtoto ndiye alimuona. AU VIPI MSHAMBULIAJI AVAE KANZU NDIO AENDE KTK TUKIO LA KUDHURU ? BAdo inatia shaka kama mshambuliaji ambrosi alirusha akakimbia kwa kusema mwizimwizi kisha akarudi tena watu baadae wamepata fahamu ndo wakamkamata ?:fish2::A S confused::A S confused: akili changanya na zako
 
Magamba's propaganda at work!
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

Kujipendekeza siyo dawa,'nyeupe tuite nyeupe'tusiite njano wakati ni nyeupe,kwa nini hawakulipua ofisini kwa
Mulongo ili tusipate shida kujua ni CDM. Tufike mahali mgonjwa wa malaria apewe ALU ili apone siyo PANADOL
 
Petro Mzee wa" Vis K "mdogo wangu njoo haraka huku,kuna mtu ameiba ID yako!
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

unaumwa wewe, kama hawakulenga ukristu kwanini hawakurusha hilo bomu sokoni likarushwe kanisani? usituletee siasa zako za kijinga zisizokuwa na kichwa wala miguu. kama umeshaingiza siku lumumba kalale
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

Kuna huu mchezo umezuka sasa wa mtu kuweka wwazi upumbavu wake na kuomba tumsifie. Mchelea mwana kulia hulia mwenyewe. Makanisa yaendelee kuchomwa huku tunaambiwa hatuna maadui.

Halafu naomba nikukumbushe kuwa WAKATOLIKI sio dhehebu. Dhehebu ni mchepuko, na nikukumbushe kuwa Kanisa Katoliki halikuchipua kutoka kwenye kanisa lolote. Kama hata maana ya kanisa huijui, utawajua maadui zake?
 
wewe ndio uchanganye na zako, ulitarajia muhusika awe na jina la kiislamu Arusha pangekalika? hizo ni propaganda za ccm ili watu watulize jazba manake akitajwa mwislamu hapo itakuwa vurukgu tupu. inawezekana hata aliyekamatwa ana jina la kiislamu wakabadilisha kwa usalama wa nchi. soma alama za nyakati wewe?
 
ACHENI uchochezi, mwawezaliingiza taifa ktk janga kubwa, Waislam hawana shida na wakristo. acheni uchunguzi ukamilike ndo muongee. kwani yaweza bainika kuwa wakristo haohao ndo wahusika. uchunguzi wa awali umeonyesha muhusika ni mkiristo AMBROSE.

wanaoshambulia makanisa na watumishi wa kanisa wasiingize nchi katika janga waje waingize wanaolalamika kutendewa maovu!!!? shame on you, hivi mmeona kabisa kuwa wakristo ni mawe au jalala eh? waumizwe wavumilie, kila uovu wafanyiwe wadumishe amani, kwanza nyie ni nani kuwafundisha wakristo kuwa na amani? nyie kudumisha amani mnajua au mnaweza? msitake sasa kukasirisha watu, bora mtulie kuliko kujifanya nyie ndio waungwana sana mnaopenda amani, waacheni kabisa wakristo watafakari kivyao. watu wamenyamaza nyie mnawaanza tu, waone kwanza
 
wewe pm hata watoto wa chekechea ukienda kuwafundisha hivyo watakupiga hata mawe, kila kukicha wanasikia mauaji na milipuko makanisani halafu unataka kuwaambia sio..... kaa chini huko, huna issue
 
Huna haja ya kusema hivyo sababu hali hii ilianzia kubomoa na kuchoma makanisa kule mbagala!!
Wewe unafikiri wamesahaueee?!
 
Aman ya tanzania kwa sasa iko mikoni mwa wakiristo wakijibu mapigo 2 ya kuwachomea misikiti ndo amani bye bye
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom