ARUSHA: Diwani msaliti apata pigo

ARUSHA: Diwani msaliti apata pigo

Kupeana pole ni uungwana, nampa pole kwa hasara kubwa hiyo aliyopata......pia namkumbusha ktk ya majonzi hayo kitendo ulichofanya cha kuwaasi wananchi wako si cha uungwana
 
Sasa tuone kama ile milioni 50 aliyolipwa na miccm inatosha kujenga nyumba nyingine.
 
Aliyekuwa Diwani wa CHADEMA Kata ya Leguruki aitwaye Anderson E. Sikawa kabla hajahamia CCM kwa mbwembwe nyingi na matangazo ya kumuunga Magufuli mkono huko Arumeru, amepatwa na janga la kuunguliwa nyumba yake anayoishi na vitu vyake vyote vimeungulia ndani.

Hadi sasa chanzo cha moto huo hakijajulikani kabisa, japo wengi wanasema ni mshahara wa dhambi zake za usaliti.


Siyo sahihi kumtakia mtu mwingine mabaya, hata kama tunatofautiana kwa itikadi bado sote ni watanzania. Niombe tu wapinzani onyesheni upendo msiige siasa za chuki zinazoasisiwa na chama tawala
 
Aliyekuwa Diwani wa CHADEMA Kata ya Leguruki aitwaye Anderson E. Sikawa kabla hajahamia CCM kwa mbwembwe nyingi na matangazo ya kumuunga Magufuli mkono huko Arumeru, amepatwa na janga la kuunguliwa nyumba yake anayoishi na vitu vyake vyote vimeungulia ndani.

Hadi sasa chanzo cha moto huo hakijajulikani kabisa, japo wengi wanasema ni mshahara wa dhambi zake za usaliti.
atamjengea😛😛😛😛😛😛😛😛 nyingine hahahahaha
 
Ni haki yenu kupimwa mkojo. Kwahiyo ukibakia Chadema unakuwa immuned na majanga yote anayotakiwa kukutana nayo Binadamu? Njia ya ajabu kabisa ya kufikiri.
 
Mleta mada una hulka za kichawi, hata hivyo kwa mawazo yako mgando na chuki ulizonazo nakwambia utakufa maskini.
 
!
!
Akamatwe ahojiwe kwa nini nyumba iungue Mara tu baada ya Kuhamia sisiemu. Huenda akawa ameichoma mwenyewe ili awasingizie chadema
 
Aliyekuwa Diwani wa CHADEMA Kata ya Leguruki aitwaye Anderson E. Sikawa kabla hajahamia CCM kwa mbwembwe nyingi na matangazo ya kumuunga Magufuli mkono huko Arumeru, amepatwa na janga la kuunguliwa nyumba yake anayoishi na vitu vyake vyote vimeungulia ndani.

Hadi sasa chanzo cha moto huo hakijajulikani kabisa, japo wengi wanasema ni mshahara wa dhambi zake za usaliti.
Mbona chanzo kinaonekana kabisa, ningekuwa Mwana usalama ningeanza na wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom