Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,238
asante ' ANATAFUTWA '
Haya maneno tu, CCM itaendelea kuwaburuza tu.
Ile Operation Delete CCM imeanza kuzaa matunda baada ya wagombea nafasi ya uenyeviti 9 wa ccm kujitoa na watatu kati yao kuomba kujiunga na Chadema.
Wenye viti wa ccm waliotangaza rasmi kujitoa katika kinyang'anyiro hicho cha kugombea ni kutoka :-
Mtaa wa-
Olmatejoo "A"
Olmatejoo "B"
Mama Muasa
Navarana
Melamari
Sakina
Shamsi
My River
Majengo "B"
Hata hivyo leo ni Miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika
Kauli mbiu: jitokeze kuipigia kura ya HAPANA katiba inayopendekezwa.
Hizo ni laana za Rada,Ndege ya Rais,EPA,Deep Green,Kiwira,Buzwagi na Escrow bado sana2 waanze maombolezo ya mazishi ya CCM.
mzee unashangilia hospitali kuna dawa,shule kuna madawati ya kutosha, je kuna elimu bora kwa wanafunzi wetuBaada ya ccm kupita bila kupingwa mitaa 6 ndani ya jiji la Arusha leo mkutano wa hadhara kata ya NGARENARO ni kushangilia ushindi tuu