Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,935
- 93,801
Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
Thread ipo hapa na si vinginevyo
Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
ahahahaaaaaaaaaaa-natamani ningekuwa Arusha.Thread ipo hapa na si vinginevyo
Huko mbona cha.mtoto
Iko wapi?Nenda maeneo ya Picnic alafu vunga.
Mmmh una lako jamboMimi nataka wengi...Hata tukionana in groups sawa tu..
We meet at book clubs, coffee shops,bars and restaurants and make stories..It is a good thing pia kubadilishana mawazo..
Badae unazoea with positive people around you
Naye ana lake jambo sio phaller ujue😅Kumbe una yako
Kwa nn uwe maalu.?
Jambo gani tena mkuu?Mmmh una lako jambo
Karibu mkuuKwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje?
It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.
Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
Arusha kwa baridi sio mchezo kipindi hiki. Hii mpaka August.Kwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje?
It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.
Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
Kwanini iwe group? Ndio nini itokee sasaJambo gani tena mkuu?
Golden rose kwa nyuma we uliza tax driver or boda utapelekwaIko wapi?
Usinifikirie hivyo mkuu.Naye ana lake jambo sio phaller ujue
hahahah, umeyaona hayo tuu!!Kawaida wapi..hahaha ..Baridi linaleta njaa na unakuwa unakula kama mchwaaa
Hahaha Acha mawazo hayo na weweNaye ana lake jambo sio phaller ujue😅
Huenda una nia njema lkn unavyotaka utekelezaji wake hautakuwa sawa.Usinifikirie hivyo mkuu.
Tatizo nyie me ndo mnakuja na nia tofauti...Huenda una nia njema lkn unavyotaka utekelezaji wake hautakuwa sawa.
Kwa uzoefu wangu ni kuwa kutaniko lolote la kuzidi watu wawili jf halijawahi kuwaacha watu salama
Hili lisikusumbue kabisa mkuu.Kwanini iwe group? Ndio nini itokee sasa
Unakosea sana Nakadori.Tatizo nyie me ndo mnakuja na nia tofauti...
Ila kutaniko salama linaweza kuwepo na watu wakabaki salama kabisaa