Arusha; Baba aokolewa akitaka kujinyonga baada ya mtoto kubebwa na mafuriko

Arusha; Baba aokolewa akitaka kujinyonga baada ya mtoto kubebwa na mafuriko

Mtoto alikua na akili kuliko baba yake!Kizazi Cha hovyo sana hiki!
 
Lazima achagawe. Hapo anatamani arudishe muda nyuma amskilize mtt lkn ndio too late..
Kiufupi kamdhulumu. Kama angekuwa Ulaya hapo ana kesi. Wale hawana maskhara linapokuja suala la mtt kesi kama hizo hawajui kitu kinoitwa bahati mbaya
 
Jamani nimeumia sana nimemlaumu ila kwa upande mwingine namuonea huruma Mungu amponye I hope atajisamehe nafsi yake
 
Sasa hapa serikali inahusikaje,na Una uhakika muhusika ni mlevi?

Au ni kwasababu moyo wako usio na huruma wenye hila na udanganyifu unakwambia utype hivyo
Mtu mwenye akili timamu hawezi kumpitisha mtoto wake kwenye hatari. Shule ulienda kusomea ujinga wewe?
 
Amka kanywe chai ufute wenge😂😂
"VIBOKO" vya CCM vimewapa stress za maisha, wanalewa tu visungura muda wote kama wendawazimu. Kijana mdogo tu sura anaonekana kama Mzee Wasira.
 
Hatimae yule mtoto aliyesombwa na maji Fuvu lake limepatikana Leo tarehe 11 yaani siku ya nane baada ya mtoto huyo ajulikanae Kwa jina la Andriana mwenye umri wa miaka sita kusombwa na maji wiki iliyopita wakati akiwa kwenye pikipiki yeye na babayake.
Ni baada ya watu waliokuwa wakichunga ng'ombe kuona fisi akimalizia kula kitu kama fuvu la binadamu, ndipo walipomfukuza fisi huyo na kukuta ni kichwa Cha mtoto kimebakia sehemu kidogo TU ya kichwa huku ubongo nao ukiwa umeliwa.
Fuvu Hilo litazikwa kesho
 
Lazima achagawe. Hapo anatamani arudishe muda nyuma amskilize mtt lkn ndio too late..
Kiufupi kamdhulumu. Kama angekuwa Ulaya hapo ana kesi. Wale hawana maskhara linapokuja suala la mtt kesi kama hizo hawajui kitu kinoitwa bahati mbaya
Fuvu litazikwa leo
 
Kwa nini watu wa arusha mara nyingi ndo hulazimisha kuvuka mto ikiwa madaraja yamejaa?
Tulishawambia machi hayahitaji mazoea.
 
Haraka haraka hizi.
Tayari ni kumbukumbu mbaya maishani mwake,hata alichokuwa anakiwahi hakipo tena.
 
Daah mtihani kweli,....baba anatamani arudishe masaa nyuma,pole kwa familia
 
Kuna habari zinaumiza kweli.
 
Aisee vijana wengi wa Arusha wanakunywa sana visungura, serikali ya CCM imeharibu maisha yao kabisa.
Mbowe na chadema ndio waliharibu vijana . unakumbuka kipindi Cha kampeni 2015 nani alikuwa anazunguuka na kuwapatia vijana viroba?
 
Back
Top Bottom