Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Gracious,
Tumeamuamkuziweka hizo picha ili kusudi kama kuna member yeyote mwenye kumtambua mtu amtambue, cause mpaka sasa hakuna aliyewatambua.
Wale watu waliuawa kwa kunyongwa, hivyo sura zao hazijaharibika kabisa, isipokuwa mmoja kati ya wanne ambaye kamba iliyotumika kumnyonga imeng'ang'ania shingoni ametokwa na damu nyingi puani na mdomoni.
Tumeamuamkuziweka hizo picha ili kusudi kama kuna member yeyote mwenye kumtambua mtu amtambue, cause mpaka sasa hakuna aliyewatambua.
Wale watu waliuawa kwa kunyongwa, hivyo sura zao hazijaharibika kabisa, isipokuwa mmoja kati ya wanne ambaye kamba iliyotumika kumnyonga imeng'ang'ania shingoni ametokwa na damu nyingi puani na mdomoni.
MODS hizi picha tafadhali.Sidhani kama ni sahii kuwa kubandikwa hapa kwa hali hiyo