macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,315
- 57,117
Inaonekana elimu yako na hao mnaotetea hizi picha kwenye uwanja wa media ni finyu sana. Hivyo hatutaelewana....Siyo vizuri kuzisemea int media kama cnn na bbc, nijuavyo wao huwa wa kwanza kuonesha picha kwa uhakiki . Hapo ndo tunapata kudhibitisha kuwa osama, qadafi, sadam, qusai, udah na yonas savimbi wamefariki. Tuache ushabiki. Kuonesha picha za mrehemu kama hawa vijana wa arumeru kunasadia kuharakisha utambuzi. Hakuna tatizo.