Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 372
so sad indeed.
Mkuu labda kama una ndugu zako maeneo hayo wananchi hawataki kabisa kuongelea swala hili hasa wasipo kufahamu watajua mpelelezi.....
Sorry, off topic
Mungi hii signature yako imeniacha hoi!
"Rais wangu anavyopenda kuwazika wenzake! Yupo tayari awazike wananchi wote abaki yeye mwenyewe"
lanye lanye
Acha ujinga wako wa kujifanya una jali human rights,WEWE UNADHANI HAWA WATATAMBULIKAJE NA NDUGU AU JAMAA ZAO, BILA MSAADA WA MEDIA KAMA HUU??MODS hizi picha tafadhali.Sidhani kama ni sahii kuwa kubandikwa hapa kwa hali hiyo
Watu watano ni watu wengi kuuwawa kwa mara moja. Inteligensia yangu ndogo najenga theory kwamba vijana hawa wameuwawa na wamiliki wa mashamba huko Arumeru ili iwe tishio kwa wengine wote watakao jaribu kuvamia mashamba yao. Mauaji haya ni well planned and overseen by proffesional executioner.
Tunaomba uongozi wa jamii forum upige vita kwa nguvu zote huu ujinga wa watu wachache kupiga picha za marehemu na kuzi-upload kwenye hii forum. Huku ni kukiuka haki za binadamu na lazima wote tunalaani vikali wapumbavu wachache wenye ujinga huu. Hizi tabia za namna hii madhara yake yanakwenda mbali na ni ya muda mrefu.Kuna tetesi ya kuwa mauwaji hayo yana weza kuhusishwa na vurugu za za juzi za kugombea mashamba.....