Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Watu wa tano(5) wamekutwa wameuwawa kinyama maeneo ya chekeleni wilayani Arumeru. watu hao inasemakana hawana hata jeraha hivyo inasadikiwa wameuwawa kwa kunyongwa.
Source: Sunrise FM
========
View attachment 52286
View attachment 52287Kwajinsi walivyo marehemu hawa polisi wanapaswa kutueleza juu ya vifo vya vijana hawa....
==================
Source: Sunrise FM
========
View attachment 52286
View attachment 52287Kwajinsi walivyo marehemu hawa polisi wanapaswa kutueleza juu ya vifo vya vijana hawa....
==================
kuna taarifa zinasema watatu kati ya hawa vijana ni wakazi wa sombetini na wameshatambuliwa na ndugu zao, wametambulika kama ni dreva TOYO wa huko sombetini.