Huyu mmoja mbona kama ana pingu mkononi? This bongoland bana utadhani tupo torabora.....
Iko mbele ya moshono njia yta kwenda Nelson Mandela uni.chekeleni arumeru mashariki ni wapi?mimi nafahamu chekeleni ya moshi tu!
Mi wasiwasi wangu unakuja pale uchaguzi unapokuwa mgumu kwa hawa jamaa wa Magamba basi baada ya matokea vifo hutokea na hususani maiti kuokotwa mfano halisi ilitokea Igunga, labda ningependa kufahamu hao marehemu ni wakazi wa Arumeru? na je walikuwepo baada ya uchaguzi au walipotea? maana hawa jamaa zetu(Magamba) wanatabia ya kuteka vijana kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi ufanya huo unyama wao - Hayo ni mawazo tu.