meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
katika hali inayotia shaka nimeamka saa tisa usiku na kukuta umeme umekatika.
Mpaka mida hii ninapopost thread haujarudishwa.Jambo hili limenishtua sana kwani ni hivi majuzi tu tuliambiwa hakuna mgawo wa umeme.
Nini kinaendelea usiku wa manane hapa arumeru mashariki?
Mpaka mida hii ninapopost thread haujarudishwa.Jambo hili limenishtua sana kwani ni hivi majuzi tu tuliambiwa hakuna mgawo wa umeme.
Nini kinaendelea usiku wa manane hapa arumeru mashariki?