Katika hali isiyo ya kawaida na wala haikutegemea kusikia kauli kama hii kutolewa na kada na meneja wa kampeni kwa mgombea wa ccm kwenye uchaguzi wa jimbo la arumeru mashariki mwigulu kuwa sababu inayowafanya ccm kampeni zao zitawaliwe na matusi na siyo sera zenye kujibu matatizo ya wanaarumeru ni kuwa kama wakitoa sera ambazo zitakuwa na uchambuzi wa kiuchumi basi mkutano utakaofuata watakosa watu ndiyo maana wanapiga porojo zilizojaa matusi,dhiaka na kejeli.
Mytake.
Kama ccm inajengwa na vijana mithili ya mwigulu basi kwishenie
Subirin tar 1 April tutajua aliyeishiwa sera. Mimi sina shaka na kama nimeishiwa na cdm wanataka kushinda ndio kweli wananishauri niondoke. Kilio cha nini kama CCM IMECHOKA? AM CONFIDENT CCM ITASHINDA
Hajui kimeru...kule igunga alienda kuongea kisukuma ndo ilikuwa kazi yake maana hilo daraja wala halipo.....huyu Mwigulu au Mbinguni naona anadhihirisha kule ndani ya CCM kumejaa watu wanautumia masaburimagufuli hajaenda Arumeru kuahidi daraja kama alivyofanya Igunga? jamaa wa igunga wanasikiliza tu madaraja redioni baada ya uchaguzi!
mwigulu ni anti virus ya ccm nitamwapudate asilete uchafu wake ndani ya nguvu ya umma.watanzania cku hz khanga tshirt na kofia ni rb ya polisi kwani utavivalia wapi na vilana walivyochoka na maisha magumu yaliyosababishwa na sisiem huku wao wakijineemesha na wengine wakiibiwa hotelini wakifanya ufuska?
Kuwa na NGO ndiyo sifa ya kuwa mbunge?
Mi nadhani hata msukuma mkokoteni anaweza kuchaguliwa kuwa mbunge, maadam ametimiza sifa zote.
yuko sawa! kwa mfano ingekuwa wewe uko ccm ungetangaza sera gani? si bora utukane? kuwa ccm kunaendana na kuwa mjinga!
Pamoja elimu yako mbona huna msaada katika kuukomboa uchumi wa nchi, kama kweli unachokisema katika maandishi mekundu hebu acha kuongea pumba waachie pumba waongee kina Lusinde!!!Kuhusu kutokuruhusu maswali ndugu yangu kwanza muda ni kikwazo pili huyu ndio kwanza anaomba ubunge angekuwa anaomba mara ya pili kuna la kujibu tatu mikutano ya hadhara kuna matatizo sisi huwa hatufanyi vurugu mikutano ya wenzetu ila kwetu ukiruhusu hayatakwepo maswali ya maendeleo bali namna gani mgombea abomolewe. Kuhusu porojo ndg yangu ndicho watu wanachotaka kusikia. Mimi first class economist nikishusha mambo ya growth models na inflation targeting siku inayofuata sipati watu mkutanoni. Samahani kama jibu halijatosheleza mengine ni utaratibu wetu kwamba tujibu kwanza kashfa alizozushiwa mgombea badala ya yeye ili mgombea aseme sera tu