Mwigulu akiwa anautubia wananchi wa kata ya tindikali,maji ya chai anadai eti Nassari hana cha NGo wala nini bali analisha mbwa wa mzungu kwahiyo wananchi wasimkubali.
Mytake.
Mwigulu kampeni zimemshinda siyo dhambi kama akiomba kwenda kupumzika.
Kuwa na NGO ndiyo sifa ya kuwa mbunge?
Mi nadhani hata msukuma mkokoteni anaweza kuchaguliwa kuwa mbunge, maadam ametimiza sifa zote.
Mungi ni kwasababu tu kwenye hii mikutano yao hakuna kuuliza maswali nilitakumtwanga hilo swali mwigulu.
Mdee kawauliza mbona hawamuulizi spika mbona hajaolewa?
CCM hawataki maswali. Wakishamaliza kuhutubia wanaanza kugawa allowance na kuchapa lapa.
Walianza na umri mdogo wa Nassari, wakaja na madai hajaoa, sasa hana NGO, analisha mbwa wa kizungu. Mwigulu mtu asiye na NGO ana kasoro gani? Na mtu anayelisha mbwa wa kuzungu ni kichaa?
Kama kweli Mwigulu na wenzako ni wanaume wa kweli itisheni mdahalo. Acha wananchi waulize maswali ndio tutajua nani fundi na nani kibarua.
Mkuu mungi ccm wamefulia leo walikuwa wanagawa vitambaa tu.nilikuwa naongea na makada wao wanadai wanawiki ya tatu sasa hawajalamba kitu na soon uzalendo utawashinda.kitu kingine nilichogundua katika mkutano huo ni wengi walikuwa ni wafuasi wa cdm nimehamasika sana kuona wananchi wameanza kuelewa tofauti maharage na kunde.
Kesho cdm wapo tindigani jana kamanda msigwa walipita kuweka mazingira sawa.
Subirin tar 1 April tutajua aliyeishiwa sera. Mimi sina shaka na kama nimeishiwa na cdm wanataka kushinda ndio kweli wananishauri niondoke. Kilio cha nini kama CCM IMECHOKA? AM CONFIDENT CCM ITASHINDA
Kesho nitahudhuria mkutano wa tindigani, naomba uni PM ili unielekeze location mkuu.
Subirin tar 1 April tutajua aliyeishiwa sera. Mimi sina shaka na kama nimeishiwa na cdm wanataka kushinda ndio kweli wananishauri niondoke. Kilio cha nini kama CCM IMECHOKA? AM CONFIDENT CCM ITASHINDA
Asante mkuu!Subirin tar 1 April tutajua aliyeishiwa sera. Mimi sina shaka na kama nimeishiwa na cdm wanataka kushinda ndio kweli wananishauri niondoke. Kilio cha nini kama CCM IMECHOKA? AM CONFIDENT CCM ITASHINDA