Kufungwa na BB si tatizo....tena ukizingatia timu yenyewe imecheza mechi 5 au 6 mfululizo bila kufungwa. Lakini timu yetu sisi inatia aibu bin kinyaa, yaani tunafungwa fungwa ovyo kama changu anaejiuza! kusema kweli Arsen wenga na Arsenal yake wameniboa
mpaka basi!. Hao MAN U ndiyo wametugeuza kama timu yao ya kuja kuchukulia mazoezi ili wakacheze na Liverpol au Barca