Okay,endelea ku-relax hapo juu,we won't do you any harm,forget about us!Poleni mabingwa watarajiwa, hapa ndipo muone kuwa hamna timu ya kuchukua ubingwa msimu huu. Hizi ndio zilikuwa mechi za kuziba gap wakati walio juu wakichemsha wewe ndio ulitakiwa ufanye kweli. Ndio EPL hiyo!!!!!!!.
Thats just soccer being soccer in EPL,almost all the big 4 failed to capitalize.. Timu ndogo zimeimarika yaani suprise packages zimekuwa za kumwaga..
kweli kabisa Mkuu, who expected Manure will be trashed 3-0 by newcastle yesterday.. League ngumu kweli kweli msimu huu. COYG.
He's a Legend, And He is Back. King Henry Pictures: Henry back in Arsenal's colours | News Archive | News | Arsenal.com
Kuna msemo wa kiswahili unasema "kisebusebu na kiroho papo". Mnamuuza kumbe roho bado ipo hapo hapo, mlimuuzia nini mnaonekana hamjuia mnachofanya. Mmeona wenzenu man 6, jamaa wanagombana kuhusu bishoo wao kimyaaa hawamuhitaji ndio maana walimuuza.
etii msimkasilikie tu...:coffee:
yeah, mkuu Wacha1, Gemu na Leeds Wenger anaweza kumpa nafasi. King is back!!
[/COLOR]Hilo halikatalika lakini kwa desturi WENGER huwachukulia taratibu sana chipukizi wake na WILSHER kama chipukizi wengine walioinukia Arsenal ni wachache sana ambao hawaendi loan mara nyingi,Championship.na WILSHER loan ya BOLTON ilimsaidia sana kupata uzoefu wa Premier League,nadhani tunaona ARSENAL alivyo anza msimu na card nyingi na ukitazama ni wachezaji gani wamekuwa wahanga wa red card utaona ni wale wageni na Premier league ingawa haina maana wazoefu hawapati red card.
Frimpong atacheza big part na sio kwa mechi za FA/carling tu bali EPL, huyu dogo Wenger anam-rate so high na alikuwa yeye ndio awe promoted kwenye full squad hata kabla ya Jack Wilshere lakini majeruhi yake ndio yaliyompa Jack nafasi, that is how high Wenger anam-rate huyu dogo.
Wacha wivu wewe kwani umeulizwa!
yeah, mkuu Wacha1, Gemu na Leeds Wenger anaweza kumpa nafasi. King is back!!
Ninyi wenyewe kuna kipindi mlikuwa mnamnyatia Becks kwa loan move sema tu hamkufanikiwa.Wakiambiwa ukweli wakali hao, jirani zangu wanaleta raha kweli.
[h=1]Henry will be in Champions League squad[/h]By Joe Brewin
Thierry Henry will be part of Arsène Wengers Champions League squad for Arsenals last-16 tie against AC Milan next month.
Henry scored 42 goals in Europe in his first spell with the Club and will now be involved again after completing his short-term loan deal on Friday.
Wenger confirmed that the record goalscorer will be eligible to play in the competition this season.
Yes, he will be [in the squad], said the Frenchman. I have given Vito Mannone out on loan to Hull and Thierry will take his place.
He has good memories of playing in Milan, where he scored three goals against Inter Milan. It is logical [to include him].
Henry will be in Champions League squad | News Archive | News | Arsenal.com