Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuletee takwimu za Pepe halafu fananisha na Neto unadharau zakijinga sana kijana huyo Madueke alikimbia namba kwa Neto
Unajichosha, tunakushangaa una utimamu hlf unabishana na hawa watu!! Huyo Rogers aliwakataa unategemea wasemeje kuhusu yeye, waulize pia kuhusu Mudryk na vile aliona kuwakataa haitoshi akawatungua mgoli wa video, hawampendiii

Madueke tu kaenda kumueka Saka benchi, sahivi ndio supa staa wao na wakati akiwa chelsea walikua wanamponda, unaona ni wazima hao.
 
Dah nimecheka sana 🤣
 
Unaangalia starting eleven unaangalia na benchi unaona wazi mkifungwa basi ibilisi wamehusika kudadeki.

So inabidi leo tushinde angalau 3 mtungi siyo?

I wish yule dogo waliyemsajili, Madjo, angekuepo. Nilitaka kuona tunavyomhandle dogo yupo vizuri kwa umri wake.

 
Unaona kwenye huu uzi hakuna anayekuja kusema tunafungwa?

Hiyo inaitwa fear factor.

Wapinzani hawana uhakika na matokeo against Arsenal.
 
Tzolis namuona ni martineli asiye dribble huku anatizama chini, anatumia mguu wa kushoto. Mwepesi kumwaga maji, lakini ana u martineli
 
Hii mechi inachezwa hovyo

Low block inayopigwa hapa inahitaji watu wanaoingia ndani ya boksi siyo pasi
 
Unaona kwenye huu uzi hakuna anayekuja kusema tunafungwa?

Hiyo inaitwa fear factor.

Wapinzani hawana uhakika na matokeo against Arsenal.
Yaani nyie mashabiki wa Arsenal mna shida mahala, yaani fear facter kwa Arsenal hii nayoiangalia?! au kuna Arsenal nyingine

Yaani mnavyoizungumziaga Arsenal kama kuna timu ndio siku ya kwanza kuingia duniani wakasikia hizo tambo wanaweza wasipeleke timu uwanjani. kumbe mashuzi matupu.
 
wewe yako UHARO mtupu
 
Ni factor siyo facter.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…