Makocha sometimes huwa wanakuwa na mahaba na mchezaji fulani kwa Arteta anampenda sana Kai kuliko Jesus lakini kwa upande wangu Jesus ni mzuri zaidi ya KaiNdio maana huwa nashangaa jesus kuwekwa bench halibaina ya uchezaji wake ndio unaendana na arsenal..
Tatizo hamtaki kukubaliana na uhalisia hivi una mchezaji gani zaidi ya Reece James au unataka mpaka awe Arsenal ujue ni Bora?Haya nitajie unamtoa nani unamuweka nani nipo hapa nasubiri
Nimeakuambia nitajie wachezaji wewe ukaamua ulopoke tuReece James, Moi Caicedo, Joao Pedro, Cole Palmer na Colwil
James akiwa fit anacheza tena anaanza timu yoyote kama RB.Reece James, Moi Caicedo, Joao Pedro, Cole Palmer na Colwil
Timber anaweza kumchallenge Reece easily ila wote wakiwa fit na wapo timu yangu Timber namuweka LB Reece akae RBTatizo hamtaki kukubaliana na uhalisia hivi una mchezaji gani zaidi ya Reece James au unataka mpaka awe Arsenal ujue ni Bora?
We mpk Madueke kaja kachukua namba unataka tukwambie nini kingine, umevimbiwa zako viazi vinakulevya unataka kutuchosha tu.Haya nitajie unamtoa nani unamuweka nani nipo hapa nasubiri
Madueke kachukua namba wapi? Ukiona madueke anacheza either saka hayupo fit au hiyo game nyepesi kwetuWe mpk Madueke kaja kachukua namba unataka tukwambie nini kingine, umevimbiwa zako viazi vinakulevya unataka kutuchosha tu.
Victor miyeyusho ana attitude ya Balotel. Talent bila nidhamu hufiki mbaliKwa mtazamo wangu Osimehen sio usajili sahihi kwetu, hana tofauti na Gyokeres, nadhani Gyokeres ana nafuu
Huna timu ya kucheza mechi kila siku tatu.Ushindani wa kweli pale England ni kati ya Man Utd na Arsenal, hawa akina City, Chelkenge, na wengineo ilikuwa kama kibwagizo tu.
Back to our rivalry days
Upo sahihi kwa asilimia 100Ushindani wa kweli pale England ni kati ya Man Utd na Arsenal, hawa akina City, Chelkenge, na wengineo ilikuwa kama kibwagizo tu.
Back to our rivalry days
Ukitaka kujua ligi ya Malkia haitabiriki, muulize shabiki wa Liverpool aliyeshuhudia timu yake msimu wa 2024/25 alivyokuwa na matarajio ya kutawala ligi kwa miaka 10 mfululizo na alipoishia msimu wa 2025/26 tena baada ya maingizo bora kabisa.Huna timu ya kucheza mechi kila siku tatu.
Kwa sasa hauna timu ya kushindana na Arsenal
Ndiyo mashabiki wenzako wamejiuliza kama wakubali ukweli kua jamaa ni one season wonder.Cole Palmer alishaset standard ya juu tayari msimu wake mbovu ni wa msimu uliopita ambao kakosa mechi nyingi plus injury za mara kwa mara ndio kafunga goals 11 na Assist 3 kuwa mkweli hii takwimu kwa mchezaji mwingine kwake ndio best. Msimu wake wa Kwanza 2023/2024 kafunga goals 25 assist 15, msimu wake wa pili 2024/2025 kafunga goals 18 assist 14. Nakuja kwenye suala la Joao Pedro wewe umemuona kwenye hizi mechi za kumaliza msimu ndio kaanza kama no 9 ila nyingi hasa msimu wa Kwanza kaanza kama no 10 hasa tukicheza na team ndogo huwa Enzo anacheza no 8 sio 10.
Jesus sio clinicalMakocha sometimes huwa wanakuwa na mahaba na mchezaji fulani kwa Arteta anampenda sana Kai kuliko Jesus lakini kwa upande wangu Jesus ni mzuri zaidi ya Kai
Itabidi mchague makombe ya kushindania unless mnataka pumzi ikate hapo January maana hamna depth ya kushindana na ArsenalUshindani wa kweli pale England ni kati ya Man Utd na Arsenal, hawa akina City, Chelkenge, na wengineo ilikuwa kama kibwagizo tu.
Back to our rivalry days
Jesus uwezo wake wa sa iv ni tofaut na kipind Cha nyuma mkuu havertz akianza unaona ktu Cha tofaut mda wwte anakufungaNdio maana huwa nashangaa jesus kuwekwa bench halibaina ya uchezaji wake ndio unaendana na arsenal..
We mpk Madueke kaja kachukua namba unataka tukwambie nini kingine, umevimbiwa zako viazi vinakulevya unataka kutuchosha tu.
Mie bado nina imani nae, jesus huyu ni matokeo ya arteta kumpiga sana benchi..Jesus uwezo wake wa sa iv ni tofaut na kipind Cha nyuma mkuu havertz akianza unaona ktu Cha tofaut mda wwte anakufunga
Arsenal kajikombe kimoja tu wanamaliza manenoUkitaka kujua ligi ya Malkia haitabiriki, muulize shabiki wa Liverpool aliyeshuhudia timu yake msimu wa 2024/25 alivyokuwa na matarajio ya kutawala ligi kwa miaka 10 mfululizo na alipoishia msimu wa 2025/26 tena baada ya maingizo bora kabisa.
Tujipe muda mkuu
Saint Anne Captain Marvelous