Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo interview ya gyokeres ni ya zaidi ya wiki nyuma ilipostiwa na skysport, kama kumbukumbu zangu ziko vzr n kwamba gyokeres hakujua kama kuna kombe la community dhidi ya city hvy alikuwa ana shangaa kuambiwa kuna kombe wiki ijayo (leo) akauliza hiyo n mechi ya kirafiki? muandishi akasema n kombe liko uwanjani.
 
Mimi sijui kiingereza kaka, ni vyema unayejua umekuja kunielewesha
 
And let's face it. Hichi siyo kikosi cha nguvu kabisa ambacho Arsenal tungeweza kukiweka uwanjani. Pamoja na hayo kinasumbua, kinalinda na kinapata matokeo.

Once chemistry ikiset in nataka kuona jinsi tutavyokua. Leo wale wanaojitambulisha kama mentality monsters wanapigwa ndonga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…