Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ulitaka tu battle nini kwenye penalty shootout? Kiufupi mpira hujui, yaani hustahili kuchangia chochote humu, mnatia kinyaa na hizi comment zenu nyie laymen
 
Unajua mashabiki wa Arsenal, man city na liverpool kidogo wana ball knowledge ambayo wanaweza Ku discuss kitu wakaeleweka, na hii ni uwezo wa makocha km pep, klopp na Arteta kuwafungua mashabiki hawa vision ya kuona mpira kitofauti, kuna hizi takataka za nyumbu na cheltako ni zero brain zisizojua chochote kuhusu mpira wa kileo, yaani ukiona comment zao ujue ni pumba Tupu na mipasho
 
Zubi ni DLP lakini haoneshi kabisa kuitaka Mali, no progressive passes, anaogopa ligi maybe, labda msimu ujao anaweza kubadilika, ø huwa simuelewi kiivo lkn mwisho wa msimu nilikuwa nammiss tukimkosa ø maana Zubi alipotea mazima, Build up yetu sikuhizi imekuwa tukimkosa ø basi game over, very predictable, thanks God dogo MLS katurescue hapa mwishoni mwa msimu
 
Zamani tulikuwa na Xhaka, a pass first DM, Jorginho pia, Partey hakuwa mzuri sana ku pass lkn he was built different, a holding mid mwenye uwezo wa Ku progress thru carries in the middle of th park, kuna huyu Xhaka this nigga is gifted, game ya juzi ya uswiss ametisha sn, anazeeka km pirlo, piga pass ile deep lying paka mpira wenyewe unamtii, afu kuna Zubi ambaye yeye haitaki Mali!
 
Anapaswa kubadilika, apige zoezi la kutosha, kuna vitu akifanyia kazi atakiwa poa, otherwise hatufai.
 
Na hiki ndicho nilikuwa nampendea partey.. hayuko straight, kuna muda atacheza one touch, kuna muda ata turn, ataachia moja, kuna muda atadrible.. atasogeza timu juu.. partey was too good, alikuwa anacheza vile napenda namba 6 icheze, kuna vitu vichache mnoo lakini mengine ni mazuri sana kuficha hayo madhaifu.

Zubi anauogopa mpira kama jna moto vile
 
Xhaka, juzi tu tumemuongelea hapa leo nasikia Chelsea wanamtaka, kama unajua unajua tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…