Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Japo mmekosa kombe ila hongereni sana wanangu wote wa Gunners, msimu huuTetea Kiwigi walau ameonesha ameanza kua matured. Sikutegemea kabisa kwa kocha kutoka Spain tena mwanafunzi wa Pep angeweza kuachana na sexy football akahamia kwenye Haram Football pira malengo.
Yote kwa yote pia kukosa kwenu Uefa walau sisi mahasimu wenu tunapata hata cha kuwasimangia, sasa mngebeba na hii tungewasimanga kwa lipi ndugu zetu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…