Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama isemavyo signature yako, "Nothing lasts Forever" mkuu.
Ni kweli mkuu ila upepo hauonekani kuwa uapnde wao.
Ingawa huwa nikilisema hili Castr ananipinga kwa nguvu tena na ushaidi kabisa, hata kama mtabeba ndoo zote 2 msimu huu arsenal ya msimu juzi ndio ilikuwa arsenal bora zaidi chini ya arteta.
 
Ni kweli mkuu ila upepo hauonekani kuwa uapnde wao.
Ingawa huwa nikilisema hili Castr ananipinga kwa nguvu tena na ushaidi kabisa, hata kama mtabeba ndoo zote 2 msimu huu arsenal ya msimu juzi ndio ilikuwa arsenal bora zaidi chini ya arteta.
Sijajua kwanini haunielewi.

Nitaandika mara ya mwisho kisha nitafafanua. Mashabiki wa timu zingine mmekua mkisema Arsenal ni mbovu kuanzia 22/23, 23/24, 24/25 na hata 25/26 mmeiita Arsenal ni mbovu.

Kwenye hiyo misimu kuna misimu Arsenal kacheza positional (siyo possession) football, the best football tactic there is. Na bado mkasema mbovu.

Haiwezekani huku mwishoni mdai eti Arsenal ya sasa ni mbovu tofauti na games 18 zilizopita. Ama ni mbovu kulinganisha na misimu iliyopita.

Huu ni unafiki. Msimu ujao au ujao baada ya huu mtaiita tena Arsenal ni mbovu.

To my best knowledge nyinyi hakuna kizuri kinachotokana na Arsenal. Best mnachoweza sema ni kashfa best mnachoweza fanya ni kunyong'onyesha kinachoihusu Arsenal. Dalili za Arsenal kua bingwa zilipoonekana mkadai ligi ni dhaifu, City alivyoonyesha dalili za kupambania kombe mkadai ligi ni bora na shindani.

Nitakua mjinga nikikaa kuwaamini sasa hivi.
 
Raya ameipatia Arsenal si chini ya point 10 msimu huu zikiwemo point 3 muhimu dhidi ya Westham.
Nashangaa sana watu wanamuongelea Big Gaby kuwa mchezaji bora wa ligi endapo arsenal itanyakua kikombe, ila Raya anastahili kwa namna zote kuliko Gaby.
Ni sahihi.. mchezaji wa kwanza bora kwa arsenal ni david raya kisha wengine watafatia
 

Yaani tangu arsenal ionyeshe dalii za kuwa bingwa, hakuna nadharia yoyote utaikubali kuhusu mapungufu ya arsenal msimu huu kisa tu una back up hoja zako na makombe mnayoenda kubeba.
 
Yaani tangu arsenal ionyeshe dalii za kuwa bingwa, hakuna nadharia yoyote utaikubali kuhusu mapungufu ya arsenal msimu huu kisa tu una back up hoja zako na makombe mnayoenda kubeba.
Wanaenda kubeba kombe gani hawa vilaza? mpk sasa wako pale kwa uduanzi wa yule refa. Amini nakwambia hawabebi chochote hawa mazwazwa.
 
Uzi una miaka 26 na hakuna kombe.
 
Acha maneno mengi, pa1 na kubebwa bado msimu huu mnatoka patupu. Labda huyo refa wenu wampe mechi zote zilizobaki achezeshe.
View attachment 3587280
Tarehe 31 utakuwa idara ya kugawa vinywaji pale mapokezi kwny sherehe yetu ya kubeba ndoo mbili....usijali mtani utakula ubwabwa na tutakupa mbinu namna Gani na ww unaweza kuchukua ndoo mwakani ukiweza kukaza miguu
 
Katika siku crystal palace atapitia kipindi kigumu basi ni siku ya kesho
 
Tarehe 31 utakuwa idara ya kugawa vinywaji pale mapokezi kwny sherehe yetu ya kubeba ndoo mbili....usijali mtani utakula ubwabwa na tutakupa mbinu namna Gani na ww unaweza kuchukua ndoo mwakani ukiweza kukaza miguu
Hii ni kwa afya yako zaidi jirani, "punguza matumaini." Usije ukasema hatukukwambia.
 
Leo tena nitakua nacheki hii mechi ya city na Palace sitarajii city kuanguka kwakua palace hakuna atachogain hata akikaza. Mostly ni kwakua atagain akishinda fainali kuliko akimzuia City leo.

So chochote kitachotokea mi nitakua live
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…