Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Manena, sporting ya kimara labda, ana kufa kifo kikatili huyo sporting
 
Manena, sporting ya kimara labda, ana kufa kifo kikatili huyo sporting
Tutakuwepo j5 sio mbaliii, kuna jamaa arsenal tv alikua na Imani kama yako anaitwa Dan mpaka wengine wakampa jina la Dan positive ila jana kavua shati ***** anasema kachoka false hopes.

Analalamika mpaka mtoto wake amemuona father muongo maana Kila mwaka anampa ahadi atampeleka Emirates kwenye parades la ubingwa lakini mpaka sasa mwaka wa 4 huu dogo hajaenda.

Nikakumbuka hamiss 77 alimuahidi mwaka juzi mtoto wake atamnunulia jezi ya arsenal endapo itachukua ubingwa mpaka Leo hollla😂
 
J5 usi ulize we pigia mstari, arsenal ana shinda kwa 2+
 
Nimeanza kushabikia Newcastle tayari Nina carabao cup .
Ukubwa wa arsenal ni upi?? Nembu kwa unyenyekevu nielezee hata kidogo tu ukubwa wa arsenal?
Kuna high expectations na false hopes nyinyi hamna expectations zozote mna false hopes.
Ukubwa wa Arsenal

13 Premier league titles
14 FA cups( record holders)
2 Carabao cups
17 community shields
1 continental cup
1 invincible ( 2003/04)
Never relegated
Huge fan base
 
Ukubwa wa Arsenal

13 Premier league titles
14 FA cups( record holders)
2 Carabao cups
17 community shields
1 continental cup
1 invincible ( 2003/04)
Never relegated
Huge fan base
Ili uwe mkubwa lazima uwe na champions league hapo silioni Hilo kombe . Anyway twende taratibu
13 EPL ( last time 2003/2004) hivi unamjua 2003 halland alikua hajazaliwa na foden pia? Halland na foden wamezaliwa wamekuta team haijachukua EPL wamecheza wakachukua EPL zaidi ya 4 arsenal still 0 saivi wanaenda kustaafu.
Carabao cup(1992) 😂😂

Kufupisha story ndani ya muongo 1 ( miaka 10) ili uwe team kubwa inatakiwa uwe umechukua at least makombe 3 nitajie hayo makombe mliochukua within 10 years
 
Miaka kumi on whose criteria? We jamaa kama hujui unachoongelea bi heri ukae kimya kuliko kuongea na kudhihirisha ujinga wako.

Ni kwa criteria/ vigezo vya Nani eti kwamba ili timu iwe kubwa lazima iwe umeshinda Premier league na UCL ndani ya miaka kumi?
 
Team kubwa uingereza ni Liverpool, Man city, Chelsea na Manchester united. Vigezo na masharti vimezingatiwa.
Comments zako zinaonyesha jinsi ulivyo na akili za kitoto na hujui chochote kuhusu mpira.

Sasa umri wa Haaland na Foden unahusiana nini na Arsenal?
Wewe unajua Arsenal ilianzishwa mwaka gani na kabla hao Haaland na Foden kuzaliwa ilikuwa imeshinda makombe mangapi?

Acha kutumia kichwa kama kifuniko cha shingo kenge wewe.
 
Haya basi nakuongezea miaka 10 mingine haya miaka 20 .

Unajiitaje mkubwa na ndani ya miaka 20 huna kombe? Ukubwa wa team unaletwa na makombe na consistencies ya kuyachukua hayo makombe that's all mzee na si kingine
 
Halland au foden umri wao unahusiana vizurrii tu , ngoja nikueleweshe maana arsenal fans Huwa hamna akili zaidi ya false hopes moyoni ila kichwani ni watupu

Halland na foden wanawakilisha generation ya watu wenye miaka 25 na wengine wengine ambao toka wanazaliwa mpaka sasa hawajawahi kuona Arsenal imebeba kombe lolote la maana ila wameona Chelsea, man city, man UTD na Liverpool wakiwa wamebeba kombe.

Utaanza vipi kuwaeleza arsenal ni team kubwa wakuelewe wakati toka wanazaliwa mpaka wanapata watoto still arsenal hana kombe ukubwa wake ni upi sasa.
Wewe mwenyewe hujawahi kuona Arsenal ikiwa imebeba kombe zaidi ya mara 2 na pengine hujawahi kabisa.

Ukubwa wa team yoyote ni uwezo wa kubeba makombe na cosintency yake kwenye kubeba hayo makombe. Hio ndio criteria yangu ya team kubwa.

Nipe criteria yako na wewe mpaka ukaiweka arsenal kwenye team kubwa?
 
 
Hivi Arsenal mnatoa wapi matumaini ya ku win champions league au EPL? Kwa timu gani mliyo nayo nyie mkia wa mbuzi? Keep daydreaming!
 
Alright—this is where football debates get serious 😄
Let’s break it into historical biggest clubs vs current biggest clubs in the Premier League.
🏆 Historically Biggest Clubs (All-Time Status)
These are clubs whose legacy, trophies, and global identity make them “permanently big”:
🔴 Manchester United
Most dominant English club in the Premier League era (under Alex Ferguson)
Massive global fanbase
Still arguably the biggest brand in English football
🔴 Liverpool FC
England’s most successful club in European competitions
Dominated the 70s & 80s
Huge worldwide support
👉 Historically, Liverpool + Man United are the top two.
🔴 Arsenal FC
Long-term consistency
“Invincibles” under Arsène Wenger
Strong identity and history
🔵 Chelsea FC
Became elite after early 2000s
Won Champions League twice
Not as old historically, but now firmly “big”
⚡ Currently Biggest Clubs (Modern Power)
This focuses on recent success, money, and dominance (last ~10–15 years):
🔵 Manchester City
Most dominant team in recent years
Multiple league titles under Pep Guardiola
Won the Champions League
👉 Right now: arguably the strongest team in England
🔴 Liverpool FC
Recent league + Champions League wins
Strong modern era under Jürgen Klopp
🔴 Arsenal FC
Back to competing at the top
Young, exciting squad
🔵 Chelsea FC
Still financially powerful
Inconsistent recently, but still “big”
🤔 The Special Case
⚪ Tottenham Hotspur
Big stadium, big fanbase
BUT… fewer trophies
👉 This is why people argue:
“Are Spurs really a big club or just a rich one?”
⚖️ Simple Comparison
Factor
Historically Biggest
Currently Biggest
Trophies
Man United, Liverpool
Man City, Liverpool
Legacy
Man United, Liverpool, Arsenal
Less important
Current dominance

Man City
Fanbase
Man United, Liverpool
Still those two
🧠 Final Insight
👉 A club can be:
Historically big but currently struggling
→ (e.g. Manchester United)
Currently dominant but less historic
→ (e.g. Manchester City)
✅ So the TRUE “biggest clubs overall” (balanced view):
Manchester United
Liverpool FC
Arsenal FC
Chelsea FC
Manchester City
Tottenham Hotspur
If you want, I can rank them �⁠strictly by trophies only or �⁠by fanbase worldwide (Africa included)—those rankings change a lot 👀
 
Kama ni juzi tu hapo 2021 unaita uchizi, vipi kuhisi team ambayo haijabeba ubingwa toka 2004 utabeba Leo huo nao ni Nini?
Uwezo wako wa kuwaza ukiona taarifa.

Mchakato wako wa kupima, uelewa wako wa kuchambua na utayari wa kutuhabarisha ulichochambua ni wa kipekee sana.

Nimekutana na watu wanne tu wenye huu uwezo.

Wawili nimekutana nao ninapofanya kazi sehemu ya mentally depressed and trauma

Mmoja ni binti yangu.

Mwingine ni wewe.

Sasa nashindwa elewa wewe ni mtoto au unaishi kwa trauma. Kama una zaidi ya miaka 18 seek medical help
 
Mzee wa trauma na energy drinks, lete hoja sio vioja vya trauma ukikosa hoja unakuja na department zako za trauma na mentally depressed.

Kama ni uchizi kufikiri Chelsea atamfunga man city kwa kigezo hajamfunga toka 2021 , Vipi anayefikiri Arsenal itatwaa ubingwa mwaka huu na haijawahi kutwaa toka 2003 with same scenario Kila mwaka hio ni beyond uchizi.

To make the dance short huko kwenye (Taarifa) nimesoma nimebaki nacheka tu laiti ungelijua hata usingeongea umenikumbusha SAT and Devil advocacy.
Tuendelee kuongelea mpira huku kwingine huna ujualo kuhusu Mimi
 
Haya yote uliyoandika still yanasapoti point yangu ni vile tu uliyeandika na wewe hujasoma between the lines.

Maneno uliyoandika ni mengi ila ukiangalia kwa arsenal umeandika maneno machache unajua ni kwanini? Kwasababu hayo maneno mengi yote yanaingia kwa biggest club na arsenal sio club kubwa. Huko kwa Liverpool,man utd, Chelsea na man city sikupigi japo kuna errors ndogo sana .

Arsenal FC : umeanza na long term consistency, tuambie hii consistency ni ya Nini makombe au Nini???
Strong identity ipi? Kuwa bottlers au Nini ? History ( ni mjumwiko wa Mambo uliyofanya at certain period of time) Ndani ya miaka 20 tuambie arsenal ina historia gani? Kwasababu ni team tutajie makombe iliyowania na kuyachukua hivyo ndivyo history huandikwa .

Back to competing at the Top & exciting squad : Hii team ya kucheza na kudefence mwanzo mwisho ndiyo unaona ni exciting umeangalia PSG inavyocheza hii ndo exciting squad.

Katika yote uliyoandika makombe na dominance ni sifa ulizoandika kwa team kubwa zote ukaichomeka na Arsenal kuzuga lakini sifa ulizotaja ni hizo ambazo nimeziandika juu hapo
Tueleze consistency ya arsenal ni ipi?, history ya arsenal for 30 years ni ipi
 
Semenyo to Man city £ 62.5M
Cherki to man city £34M
Reijdner to man city £46M

Njoo kwa false hopers
Madueke £ 52M
Zubimendi £51M
Eze £ 67M
Hivi yule norgard mlinunua wa Nini mazee 😂😂
Arteta ni tapeli yule huoni tu michezo yake mara anunue mbwa mara vitochi mara maspeaker hayo yanasaidia Nini kwenye kutafuta ubingwa. Mnataka ubingwa kwa mazingaombwe au?
 
Tatizo Labyrinth unaishi kama Yahya.

Hakuna anayejua unapopatikana kwakua hata uzi wa Newcastle haupo na hutaki kuuanzisha.

Unasubiri Arsenal isuluhu au ifungwe ndiyo unacomment. La sivyo unaishi kama kinega. Mimi sina makosa kuandika nilichoandika kwa sababu ndicho unachopresent hapa online
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…