Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Slot kaenda kwa Brighton kacheza ule mpira wa entertainment na kushambulia kafumuliwa kakaa kushoto.

Rosenior kaenda kwa Everton na akili yake ya kushambulia kapasuka.

Arsenal kazifunga hizo timu kuna watu wakawa wanalalamika.

Muacheni Arteta
 
Kuna makocha hawana akili ya mpira kumzidi Arteta ila mashabiki hawaoni hilo. Kocha wa Brighton alilalamika sana kwamba kapigwa haram ball ya maana baada ya siku kadhaa akaomba msamaha kwa Arteta.

Sasa watu hawajui kwamba Arsenal tunatafuta kombe, Brighton anatafuta kubaki ligi kuu. Liverpool anatafuta kuingia top four. Haya ni malengo matatu tofauti kwa kila timu ni ngumu ninayetaka ubingwa nikaenda kujiexpose kwa timu inayopambania kubaki ligi kuu.

Hawa watapigwa kivyovyote
 
ukisikia Alexandr hleb, Tom Rosicky, Santi Carzola utaelewa nazungumzia nini, kuna kijana anaitwa modric pia, alikuja Spurs akiwa mshamba tu ila baadae balaa likawa kubwa. hleb one of my favourite players kuvaa jezi ya Arsenal
 
ukisikia Alexandr hleb, Tom Rosicky, Santi Carzola utaelewa nazungumzia nini, kuna kijana anaitwa modric pia, alikuja Spurs akiwa mshamba tu ila baadae balaa likawa kubwa. hleb one of my favourite players kuvaa jezi ya Arsenal
Robert Pires ndie alinifanya niipende Arsenal, kisha baadae Alexander Hleb.
He was pure talent kabla hajatimkia Barcelona.
 
City turned up with 5 3 2.

Arsenal tumekuja na 4 2 3 1. AM amekua Kai.
In practice Kai atakua SS kwa Gyokeres if it works kama inavyodhamiriwa hapa tuna AM na SS in Kai.

Timu zote mbili ukiachilia kipa wote walioanzishwa ni starters na vyuma haswa.

Kwakua we no longer fluid natarajia mpira wa tahadhari zaidi upande wetu, flairs hatutaziona mpaka aingie Dowman wakati kwa City flairs na pace vyote anavyo.

Kazi yetu ni kudeal na morali na kuabsorb presha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…