Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumejituma tunachokosa wachezaji wetu wachache pale mbele hawana nguvu. Walcott na Gervinho wametunyima mchango wao leo wanatakiwa watumie nguvu zaidi kwenye mechi kama hizi.

gervinho muwindaji sijui mlimsajili wa nini ..anakimbia kimbia tu kama winga wa kaba kayeka
 
Tumecheza mpira mzuri sana 2nd half,tatizo ni kwamba bahati haikuwa upande wetu,Man City wanapaswa kumshukuru sana Joe Hart kwa kuwaokoa game ya leo.....Walcott ametuangusha sana leo,hakuwa kwenye form kabisa....

Kuna haja ya AW kumbadili namba TV5 na kucheza kama AM.....Jamaa ni mzuri sana kwenye kutafuta magoli ya mbali.....Kiukweli Man City hawatishi kivile,tumewabana sana leo hasa dakika za mwisho kiasi kwamba ilibidi Joe Hart aanze kupoteza muda...

Halafu,ina maana refa hakumuona yule beki wa City alivyzuia mpira kwa mkono,na kabla ya hapo RVP alisukumwa ndani ya eneo la hatari......Anyways,ndo EPL hiyo.....

Hongereni Arsenal kwa mchezo mzuri,tujipange kwa mechi na Aston Villa sasa...

Bala.


....Huo ndio ukweli. Pamoja na kufungwa mimi nimeshangazwa sana na kiwango cha kujituma cha wachezaji wengi )ukiondoa Walcott, Arshavin na Chamakh) wa GUNNERS ukilinganisha na misimu ya hivi karibuni. Kama watacheza katika mechi za usoni kama walivyocheza leo basi tutakuwa tishio hata kwa timu za juu kama MANU, MANC, Tottenham, Chelsea na L'pool. Refa katunyima penalty ya wazi kabisa hivyo tulistahili angalau kutoa sare. Mechi ilikuwa nzuri sana na mashambulizi yalielekezwa kila upande.
 


The Wenger Years - Overview

How the Frenchman revolutionised Arsenal on and off the pitch


Jamani humu ndani tutadiscuss klabu yetu ya Arsenal na kubadilishana mawazo jinsi gani tunavyoendelea KUFUNGWA NA KUELEKEA MKIANI.

28rejux.png

Jamani humu ndani tutadiscuss klabu yetu ya Arsenal na kubadilishana mawazo jinsi gani tunavyoendelea KUFUNGWA NA KUELEKEA MKIANI.
 
Sasa japa hata top four sijui itakuaje...... Out of top team tumewafunga Chelsea tu.... Los kwa Man Utd, Liver, T'Ham na leo Man City!!!! Hii inaonyesha bado hatujawa na uwezo wa Kushindana kwa kuwa washindi.... Tunashindana koz ni washiriki.... Generally Walcott alikuwa very poor.... Kipa ndo katutoa...... NEXT........ ITS OK fellow Goonerz!!! Ndo mchezo na tukubali kushindwa.... Kama tulisurvive zile 8... sidhani kama itakua ngumu kusurvive hiki kipigo cha goli moja ila kinadidimiza ndoto za kushiriki hata CL next season!!!!

Mkuu tumeteleza ni nafasi ya tatu...
 
Katika mpira mshindi ndiye aliyecheza vizuri, huwezi sema umecheza vizuri wakati umefungwa, pia mpira sio mchezo wa kubahatisha hadi mtu aseme Man City wamebahatisha. Mpira ungekuwa ni mchezo wa kubahatisha kama ungekuwa unachezwa kwa dakika 1 au 2 lakini dakika 90 zote unasema umebahatishwa hiyo si kweli bwana.
 
Katika mpira mshindi ndiye aliyecheza vizuri, huwezi sema umecheza vizuri wakati umefungwa, pia mpira sio mchezo wa kubahatisha hadi mtu aseme Man City wamebahatisha. Mpira ungekuwa ni mchezo wa kubahatisha kama ungekuwa unachezwa kwa dakika 1 au 2 lakini dakika 90 zote unasema umebahatishwa hiyo si kweli bwana.
Ni kweli unayoyasema lakini kwa game hii lazima niseme City wana bahati kutokana na goli lao kuwa la ki-off side na sisi kunyimwa penalty ya wazi kwa uzembe wa refa Phil Dowd,nasisitiza ni BAHATI yao.
 
Ni kweli unayoyasema lakini kwa game hii lazima niseme City wana bahati kutokana na goli lao kuwa la ki-off side na sisi kunyimwa penalty ya wazi kwa uzembe wa refa Phil Dowd,nasisitiza ni BAHATI yao.

kosa kubwa waliofanya ni beki na aguero kuucheza ule mpira na silva alikuwa offside ila kutokana hao waliucheza ndio basi tena tena tukafuta ndoto yenu ya ushindi..
 
Poleni waungwana.

....asante,....maana jana mlikuwa na mixed prayers, huku mnaombea tufungwe sita kama nyie,
wakati huo mnaombea tuwapunguze spidi, si eti ee?!

j...all in all, japo kwa pointi moja ubingwa wenu msimu huu, hawa man city zao zinahesabika mkuu.
 
....asante,....maana jana mlikuwa na mixed prayers, huku mnaombea tufungwe sita kama nyie,
wakati huo mnaombea tuwapunguze spidi, si eti ee?!

j...all in all, japo kwa pointi moja ubingwa wenu msimu huu, hawa man city zao zinahesabika mkuu.

Hahahaha! asante kaka...jana binafsi yangu 100% nilikua upande wenu, ila ndo hvo tena.
 
Ni kweli unayoyasema lakini kwa game hii lazima niseme City wana bahati kutokana na goli lao kuwa la ki-off side na sisi kunyimwa penalty ya wazi kwa uzembe wa refa Phil Dowd,nasisitiza ni BAHATI yao.

Haka kaugonjwa ka Aseno fan kulialia na maref mara sijui wat and wat sijui mtaja acha lini hv????...yaan mnadhan soka n kama lile la kwa playstation?, mnaboa sometimes bana.
 
thread ina picha nyiiiiingi lakini mafanikio ushuzi...
Hii timu haina tofauti na JKT Ruvu au hata na Kariakoo Lindi
 
Haka kaugonjwa ka Aseno fan kulialia na maref mara sijui wat and wat sijui mtaja acha lini hv????...yaan mnadhan soka n kama lile la kwa playstation?, mnaboa sometimes bana.

Usiwe na wasi wasi technology inakuja kubebwa mnakobeba kutaisha hapo ndipo mtakapojua zipi ni mbivu. Jamaa alinawa mpira then anasingizia ati msuli umemshika ..... .... kama mnataka EPL iwe netball bora msena, hii ni mara ya pili tunanyimwa haki na wapokea bahasha. Tottenham goli lao la mkono walizawadiwa wakati Mancs watu wazima chacha wanahalalisha netball kwenye soka Phew! Disgusting.
 
....asante,....maana jana mlikuwa na mixed prayers, huku mnaombea tufungwe sita kama nyie,
wakati huo mnaombea tuwapunguze spidi, si eti ee?!

j...all in all, japo kwa pointi moja ubingwa wenu msimu huu, hawa man city zao zinahesabika mkuu.

Asante kwa kuijua kweli manake itakuweka huru na kuwa mbali na pressure
 
Aston Villa: Guzan, Hutton, Dunne, Cuellar, Warnock, Albrighton, Ireland, Clark, Petrov, N'Zogbia, Agbonlahor. Subs: Marshall, Collins, Delfouneso, Delph, Bannan, Weimann, Williams.


Arsenal: Szczesny, Coquelin, Mertesacker, Koscielny, Vermaelen, Walcott, Ramsey, Frimpong, Arteta, Gervinho, van Persie. Subs: Almunia, Rosicky, Oxlade-Chamberlain, Squillaci, Arshavin, Chamakh, Benayoun.
 
wakuu habari yenu bana kama kawa tumejaa tele kwenye thread ya chama kubwa ... Leo NBA wasiwasi tunamuogesha mtu bao mbili ...
 
Back
Top Bottom