Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,199
Tumejituma tunachokosa wachezaji wetu wachache pale mbele hawana nguvu. Walcott na Gervinho wametunyima mchango wao leo wanatakiwa watumie nguvu zaidi kwenye mechi kama hizi.
gervinho muwindaji sijui mlimsajili wa nini ..anakimbia kimbia tu kama winga wa kaba kayeka