🤣🤣🤣 Manjesta kombe hatuchukui ila ile nafasi ya pili msimu huu ni yetu.Bwashee mbona manjesta kama tunalitaka kombe🥲
Mimi kama manjesta kama yule kiazi yupo bado pale juu nautaka ubingwa bwashee 😋😋😋🤣🤣🤣 Manjesta kombe hatuchukui ila ile nafasi ya pili msimu huu ni yetu.
🤣🤣🤣 Huyo kiazi mbatata hii ndio wiki yake ya mwisho kukaa pale juu, kuanzia next week anarudi kwenye pisition yake.Mimi kama manjesta kama yule kiazi yupo bado pale juu nautaka ubingwa bwashee 😋😋😋
Kuanzia leo kila timu tutakayo kukutana nayo itakua imeingia miziki ya kibwengoLigi gani inaanza February.
Binafsi naona mna nafasi ya kuchukua lkn lazima kuanzia leo Kila mechi mcheze kama final.
La muhimu, arteta mwambieni achague nini anakitaka zaidi kati ya EPL au UCL.
Hamna kikosi cha kuchukua yote UCL na EPL.
Chagueni Moja afu Kila mechi yake muicheze kama final.
Mtaka yote Kwa pupa hukosa yote.
Chagueni EPL, then UCL mfanye sacrifice ya EPL.
Mkifanya hivi nyie mwaka huu lzm mbebe
Bado nautaka ubingwa manjesta🤣🤣🤣 Huyo kiazi mbatata hii ndio wiki yake ya mwisho kukaa pale juu, kuanzia next week anarudi kwenye pisition yake.
🤣🤣🤣 Arsenyau ni kama tu mgonjwa wa kifafa na huu ndio muda wake wa kuanza kuanguka anguka.Kuanzia leo kila timu tutakayo kukutana nayo itakua imeingia miziki ya kibwengo
Kupoteza kawaida lakini consistency yetu hakuna mtu asiyeijua
Usipo fungwa kwenye open play utafungwa goli za kihuni (set pieces)
Mark my words
🤣🤣🤣 Yule Vasco Dagama ndio alitutoa kwenye mbio za ubingwa, laiti Carrick angepewa timu mzunguko wa pili tu ulivyoanza sasa hivi Manjesta tungekua ndio tunaongoza ligi.Bado nautaka ubingwa manjesta
Wapi inverted full back ya Zinchenko, wapi Haram footbal ya TetaBoy, wapi inverted pressing ya King Kai, wapi overloading football, wapi Saka Nyoka asiyekabika na neki mmoja. Kuna kauli moja ya masingeli alikuwa anapenda kuitumia kuwa it's scary but not for us... anasindikizia na mazoezi yao kule DubaiKuanzia leo kila timu tutakayo kukutana nayo itakua imeingia miziki ya kibwengo
Kupoteza kawaida lakini consistency yetu hakuna mtu asiyeijua
Usipo fungwa kwenye open play utafungwa goli za kihuni (set pieces)
Mark my words
Kabisa kumbe hapo juu wapo viazi tu , yule mzururaji katuchelewesha sana😁🤣🤣🤣 Yule Vasco Dagama ndio alitutoa kwenye mbio za ubingwa, laiti Carrick angepewa timu mzunguko wa pili tu ulivyoanza sasa hivi Manjesta tungekua ndio tunaongoza ligi.
Arsenyau ni kama tu mgonjwa wa kifafa na huu ndio muda wake wa kuanza kuanguka anguka.
Siku masingeli akirudi watu kutokea nyumbu camp mjipange aiseeWapi inverted full back ya Zinchenko, wapi Haram footbal ya TetaBoy, wapi inverted pressing ya King Kai, wapi overloading football, wapi Saka Nyoka asiyekabika na neki mmoja. Kuna kauli moja ya masingeli alikuwa anapenda kuitumia kuwa it's scary but not for us... anasindikizia na mazoezi yao kule Dubai
Mkuu umeanza kufukua makaburi mapema sana subir subir kidogo.🤣🤣🤣 Ila li Masingeli lilikua linajua sana kuvuta masikio ya hizi kima, na ole wake atokee mtu wa kumkosoa atashambuliwa kila kona na kuonekana kwenye hili jukwaa na nyau yeye ni mamluki.
Alikuwa na chawa kibao humu🤣😃🤣😃🤣🤣🤣 Ila li Masingeli lilikua linajua sana kuvuta masikio ya hizi kima, na ole wake atokee mtu wa kumkosoa atashambuliwa kila kona na kuonekana kwenye hili jukwaa na nyau yeye ni mamluki.