Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,030
- 111,617
Na hiyo ndio maana halisi ya competition, atafutwe tu kocha mwingine huyu atufikishi popote.Haijarogwa mkuu ila haina mentality ya ubingwa/ kushindana we angalia tu Arsenal tunashinda hasa timu tunayocheza nayo ikikubali ila ikishindana game inakuwaga ngumu sababu ya aina ya wachezaji tulio nao na mfumo wa kocha wa Arteta amekaririka. Naona watu wanalaumu kwamba timu za EPL zinameambiwa zucheze Low block zikikutana na Arsenal.Sasa kama mbinu hiyo inawapa shida Arsenal kwann wasicheze sasa. Arteta akichezewa hivyo ni sare au anafungwa au tubahatishe goal zetu za mipira ya adhabu au kona hatuna mbinu nyingine sabab hatuna wachezaji wakufungua wapinzani zaidi ya wachezaji wakipiga pass tu.