Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,339
- 3,991
Si tumekubaliana na castr kama katibu wa ma false hopers kuwa saivi mnagawa energy drink kwa mwizi saivi ama?Angalia hizi game Manchester city atakavyozucheza hadi anakuwa bingwa. Arsenal sahizi badala waamke wapambane sababu ligi ndo inaelekea mwishoni, timu ikidondosha points ndo basi hamna tena marudiano. Arsenal ndo kwanza anazidi kujirudisha nyuma. Anapiga hatua 5 mbele, anarudi hatua nyuma...hivyohivyo hadi ManCity atamkuta na kumuacha. Arsenal hapotezagi sana mechi kwa kufungwa ila yye anakosaga kombekwa sare nyingiπ π π
Tuki draw, huwa uko faster kuleta tumbo lako ka diaba.Acha false hope kaka, kwani kocha mwenye arteta yeye ana kombe gani kubwa akiwa anacheza arsenal? Nuksi ipi unayoongelea wamecheza kina van persie, fabregas na wengine na hawajapata kombe lolote kubwa.
Arsenal ndo ina nuksi na makombe makubwa.
Vumilia πArsenal kumanyoko zao.
Mashoga kweli yaani!
Usitusumbue, kafunge ww πMartineli kashindwa ku score nafasi ya wazi kudadadeki
Duh ww jamaa kama n mapenzi kwa Arsenal sasa h n umekufa kabisa πArteta akivumiliwa na mwaka huu tutashangaa ila shida pia makocha wazuri nao sokoni ni mtihani si unaona Man u na Chelsea wanavyohaha kufukuza na kuleta makocha wapya. Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha mkuu na anaonesha kitu kwamba huko mbeleni atakuwa tishio acha aendelee kujifunzia Arsenal ili baadae akikomaa Barca au Madrid wamchukueππ
π€£π€£π€£ Kitendo tu cha kushabikia Arsenyau lazima kuna fuse kichwani ziungue, yaani Tetea kiwigi huu msimu wake wa 6 unaenda wa 7 halafu kuna kima zinamtetea kua "Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha Mkuu"Arteta akivumiliwa na mwaka huu tutashangaa ila shida pia makocha wazuri nao sokoni ni mtihani si unaona Man u na Chelsea wanavyohaha kufukuza na kuleta makocha wapya. Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha mkuu na anaonesha kitu kwamba huko mbeleni atakuwa tishio acha aendelee kujifunzia Arsenal ili baadae akikomaa Barca au Madrid wamchukueππ
Ndo football na kupenda jambo flani uvumilivu upo pia so, acha tuvumilie labda anaweza kutupatia mafanikio maana ndo kocha wetu kwa sasa na ligi bado haijaisha anaweza kubadirisha kitu bado.π€£π€£π€£ Kitendo tu cha kushabikia Arsenyau lazima kuna fuse kichwani ziungue, yaani Tetea kiwigi huu msimu wake wa 6 unaenda wa 7 halafu kuna kima zinamtetea kua "Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha Mkuu"
Sasa hivi nimeanza kuamini rasmi zile takwimu za ile hosptali kubwa ya kule Dodoma.
Na shida tuna game nae kwao, hii game inaweza kuamua bingwaSi tumekubaliana na castr kama katibu wa ma false hopers kuwa saivi mnagawa energy drink kwa mwizi saivi ama?
Man city now wapo kusaka ubingwa as fans and players lakini arsenal fans wao wapo kwenye kugawa energy drinks ππ.
Mkorea ongeza energy drinks 2 tafadhali
π€£π€£π€£ Sema mwanangu Labyrinth 84 unajua sana kukera, endelea kupiga nyundo za kichwa hizi kima maana bado zinapumua.Si tumekubaliana na castr kama katibu wa ma false hopers kuwa saivi mnagawa energy drink kwa mwizi saivi ama?
Man city now wapo kusaka ubingwa as fans and players lakini arsenal fans wao wapo kwenye kugawa energy drinks ππ.
Mkorea ongeza energy drinks 2 tafadhali
π€£π€£π€£ Nakuhakikishia kabla ya kukutana na City, Man City atakua tayari amewapita kwa points 4 akiwafunga anawaacha kwa points 7.Na shida tuna game nae kwao, hii game inaweza kuamua bingwa
π π π π Acha tuone mpira unamaajab yake pia mkuu. Tunaweza kutafuna hiyo mifupa migumu ukashangaaπ€£π€£π€£ Nakuhakikishia kabla ya kukutana na City, Man City atakua tayari amewapita kwa points 4 akiwafunga anawaacha kwa points 7.